Mjenda Chilo
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 1,467
- 513
hii issue ni ya Pinda, siku zote anawaza mpaka Ikulu ihamie mpanda. what for? ongeza idadi ya watendaji hizo wilaya mpya ndo ziwe duty stations. ma DC n other politicians ni mzigo.
wapuuzi sana hao, walifikiri watavuta tention zetu kwenye kugawa wilaya na mikoa, tuna matatizo mengi hatutaki takwimu za idadi ya wilaya au mikoa, tunataka maendeleo.
Shangazi , mjomba , rafiki watapata ajira
Tuache umbumbu jamani. Mbona mnakuwa kama watoto kwa michango yenu ya ajabuajabu. Kama huna hoja kaa kimya sio kila kitu uchangie
Mimi walipolazimisha mipaka ya mkoa wa Manyara sikuwaelewa kabisa.....na aliyechangia alikuwa Waziri mkuu wa wakati huo......hii ya sasa naona na huyu wa sasa nae akaingia ngomani pia
Ikitokea Chadema anashika nchi huu mfumo wa serikali wataufumua na hizi mikoa mpya zote zitapunguzwa...
Badala ya kutoa taarifa kuhusu mgomo wa madaktari wanatoa taarifa kuhusu mikoa na wilaya mpya. Prioritization!!!
Afadhali Arusha ilikuwa kubwa. ...wilaya Kama kiteto was solo huge....