Serikali yatangaza kiama kwa wapenda migomo vyuoni

Huku ndo kutatua migogoro kwa vitisho yaani wameshindwa kutatua chanzo cha migomo wanaamua kupambana na wanavyuo? We are lacking strategists in Tanganyika!
 
Wanatishia nyau.serikali inawaonea sana wanafunzi.bumu mpaka mtu atoe ada
 
Kwanini asieleze pia kuwa serikali itatimiza ahadi zake na kulipa stahiki za wanafunzi kwa wakati kuepusha migomo?
 
Hivi migomo vyuo vikuu iliruhusiwa?. Hapa nashindwa kuwaelewa vizuri.
 
Very interesting!! Serkali imepiga marufuku migomo na maandamano yatakayofanyika kwa sababu ZISIZO ZA MSINGI!!!! Sababu za msingi ni zipi??? Waziri ainishe hizo sababu za msingi, tafadhali!!
 
hapa wanajaribu kuwatisha wanyonge, mi naamini haya yote lazima yatokee katika kuelekea ukombozi wa kweli. Tena mwaka huu balaa wanalo, mpaka UDSM watu wamekosa mikopo?

kwani udsm ni nani? Ongelea watoto wa maskin wote waliokosa mikopo kwenye vyuo vyote au ndo selfishness zenu hampendi wengine wasome kisa hawapo hapo udsm..kama msomi tetea maslahi ya taifa sio kundi flani
 
Hapa waziri hasomeki kabisa! Ni wangapi waliotimiza masharti na vigezo hawajapata mikopo? Kuna watu wanadivision one tena point 4 (na isitoshe wengine ni watoto wa kike) but hawana mikopo, unategemea wataishi vipi vyuoni na ukizingatia hata nauli ya kutoka kwao (mtoto wa mkulima) kuja chuo ni tatizo? Mwanafunzi anapodai haki anakuwa mfanya fujo!!! Sipati picha!
 
Kugoma ni wajibu kama diplomasia haitambuliki. Kelele za chura hazimzuii ngombe kunywa maji. Wewe ulisomeshwa bure! bure Waziri! Ndo maana hauelewi chochote! Na wanao wanasoma nje!. Sasa mmeubidilisha mfumo umekuwa wa mikopo. Na mikopo yenyewe hamtuoi!. Hela zote mmepeleka EPA, RICHMOND, Kwenye chaguzi, Kugawana, CCM na katika 'Maufisadi' lukuki usiohesabika, sasa Taifa litegemee nini?

Vitisho havifui Dafu kwenye Akili ya 'intellectuals' pole waziri. Mtawaonga wachache, lakini wenye uchungu wa kweli hamtawaweza. Elimu ndiyo Maendeleo, Uchumi na Maisha bora. Mawaziri mmesafiri mno kwenda nchi za wenzetu mmeona maajabu ya nguvu ya elimu. Hata hamuoni haya mkijilinganisha nao?. Eti mnaimba tu kila siku nchi changa. Unahitaji profesa wa Oxford au wa Havard aje akwambie kuwa tatizo Ni uongozi mbovu? Mungu Ibariki Tanzania
 
Yani hii bodi, mi na mipango mwanangu asiombe mkopo kabisa i hav to work hard kadri niwezavo kuliko kutegemea hii bodi.
 
kwani udsm ni nani? Ongelea watoto wa maskin wote waliokosa mikopo kwenye vyuo vyote au ndo selfishness zenu hampendi wengine wasome kisa hawapo hapo udsm..kama msomi tetea maslahi ya taifa sio kundi flani

tuache unafiki udsm ni chuo kikongwe. nacho kikipata adha hii manake wao wakiwasha moto sio sawa na udom. huwez linganisha simba na maji maji ingawa zote zinaweza kufungwa. just wait tar 25.10 haifiki.
 
Yani hii bodi, mi na mipango mwanangu asiombe mkopo kabisa i hav to work hard kadri niwezavo kuliko kutegemea hii bodi.

bora we umeliona hlo mkuu..tena ikibidi hata vyuo vya hapa tanzania asisome,maana magumashi yamezid.
 
Kweli huyo Waziri ni Dr. Au ni title tu ya kujipa?. Au Dr. wa political science? Pengine! Dokta wa kweli hawezi kuibaka (rape)na kuinyonga elimu hivi. Hana hadhi ya Kuitwa doctor. Usitukane mbeleko iliyokupakata waziri. Tuombe radhi.
 
tuache unafiki udsm ni chuo kikongwe. nacho kikipata adha hii manake wao wakiwasha moto sio sawa na udom. huwez linganisha simba na maji maji ingawa zote zinaweza kufungwa. just wait tar 25.10 haifiki.

mvivu kufikiri eti wakiwasha moto udsm ni lazima kiwe ndio mtetezi wa elimu Tanzania so ukisema chuo flani hovyo wakati 2na wasomi wazalendo kutoka udsm 2takiona udsm ndo hovyo coz kinatakiwa kiplay role kuboresha elimu ya Tanzania so wana udsm mnatakiwa msikae kuponda wakati hao ni watoto wenu nyie ndo mtaonekana wapumbavu
 
kwani udsm ni nani? Ongelea watoto wa maskin wote waliokosa mikopo kwenye vyuo vyote au ndo selfishness zenu hampendi wengine wasome kisa hawapo hapo udsm..kama msomi tetea maslahi ya taifa sio kundi flani

unataka kusema hujui udsm ni nani? Mara ngapi Ifm, Mzumbe, Ruco na Tecu wamekosa mikopo na wamekaa kimya? Pale udsm hata bumu likichelewa ni utata, sikuwa na lengo la kudharau wengine ila ukweli lazima usemwe.
 
mvivu kufikiri eti wakiwasha moto udsm ni lazima kiwe ndio mtetezi wa elimu Tanzania so ukisema chuo flani hovyo wakati 2na wasomi wazalendo kutoka udsm 2takiona udsm ndo hovyo coz kinatakiwa kiplay role kuboresha elimu ya Tanzania so wana udsm mnatakiwa msikae kuponda wakati hao ni watoto wenu nyie ndo mtaonekana wapumbavu

hakuna anayeponda, uwe tayari kuumeza ukweli na si kukaa kubisha kila kitu. Kulinganisha reaction ya kukosa mikopo kat ya Udsm na Sauti au Ifm ni kudanganyana.
 
unataka kusema hujui udsm ni nani? Mara ngapi Ifm, Mzumbe, Ruco na Tecu wamekosa mikopo na wamekaa kimya? Pale udsm hata bumu likichelewa ni utata, sikuwa na lengo la kudharau wengine ila ukweli lazima usemwe.

huo uropokaji acha we msomi pori to evidence
 
hapa wanajaribu kuwatisha wanyonge, mi naamini haya yote lazima yatokee katika kuelekea ukombozi wa kweli. Tena mwaka huu balaa wanalo, mpaka UDSM watu wamekosa mikopo?

kwani udsm wao ni kina nani wasikose mkopo? Hapa tunazungumzia Watanzania waliokosa mkopo bila kuangalia chuo chake.
Mbona wapo wanafunzi wengi nawafahamu waliosoma udsm walikuwa hawana mkopo? Pia wapo wanaosoma pale hawana mkopo?
 
wanazidi kuhatarisha usalama wao wenyewe CCM utaona na mtasema nilisema
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom