kupelwa
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 1,087
- 450
huo ukweli tuambiehii ni uongo! Acheni kuzusha jamani
huo ukweli tuambiehii ni uongo! Acheni kuzusha jamani
Mweeeeeeh! Kumbe tupo wengi!Bora hata hao waliokatwa lakini kidogo wamekipata!! Huku wilaya ya Ludewa bado hatujalamba hata senti na tangazo lililopo ofisi ya mkurugenzi linatuambia hadi kuanzia tar 10 ndo watajua hatma ya hiyo mishahara...
Hapa siyo ccm wala chadema ni ulafi tu..lini umesikia lema au zito kugoma kuchukua mshahara wa ubunge kwasababu ni mnono mno?wake up tanzanians
Welldone Mr Mkulo, sasa tuambie ni lini utatulipa mishahara yetu ya mwezi oktoba maana leo ni tarehe 31 na kwa logic ya mwezi kuwa na siku 28 leo ni mwezi mwinginehabari hii ni ya kichochezi,uzushi,chuki na umbea.....haina ukweli hata kidogo....kawadanganye wadogo zako huko kijijini ambao hata ukiwaambia binadam ana miguu minne 4 watakuamini bila kukuhoji au kuhoji uhalisia
Umeishiwa hoja lala ujambejambe kuliko kuleta ushuzi wako humu hakuna kitu kamna hicho posho zote zimelipwa na waliopanda mishahara wamelipwa hakuna aliyeshushwa mshahara we kimavi tu unawanga humu kenge weeeee
maafisa waandamizi(wakubwa)wanalipwa utilities(umeme na maji)385,000/= hadi 460,000/= kwa mwezi,housing allowance ni 600,000/= hii ni flat kwa wote kuanzia kwa waziri hadi katibu tawala wa wilaya,..yaani hayo marupurupu yanazidi mshahara wa kuanzia wa any graduate serikalini tena basic salary sio net...we will get there someday,.i believe...
ndugu yangu mimi ni mtumishi wa serikali kada mojawapo ya afya anachozunza mtoa mada ni sahihi kabisa, mimi mwenyewe nimeshtukia ''take home'' yangu imekatwa kwa tshs laki mbili; vuguvugu la madai lishaanza maeneo mbalimbali, lakini halina nguvu kwa sababu kada ya afya haina chama ambacho ni strong, badala yake wana lazimishwa kuingia chama cha wafanyakazi wa serikali za mitaa (TALGU) chama ambacho hakina dira wala mwelekeo kama kilivyo chama fulani cha siasa hapa nchini
Si hamtaki maandamano, sasa sijui mtafanya nini. Eti mbunge anapata seating allowance?. Na walimu wapate standing allowance.
Ndo maana mishahara hatujapata!Mishahara vipi?