makoye2009
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,638
- 1,218
Big up Kipanya. Saafi sana ujumbe umefika! Sijui kama riafande Mkuchika limeiona hii.
Nahofia isije ikatokea kesho tukasikia MASUOD KIPANYA AMEFUNGIWA KWA KUDHALILISHA SERIKALI YA JK KWA KUCHORA VIKARAGOSI VYENYE UCHOCHEZI WA KISIASA.
Naomba washauri wa Kikwete akiwemo Januari Makamba, Ridhiwani Kikwete na Mwandishi wake wa habari Salva Rweyemamu wampelee hii picha ya Kigaragosi cha Masoud wa Kipanya. Hapa ujumbe umefikaaa!!!