Serikali yapeleka Madaktari 15 kutoka Lugalo

Giddy Mangi

JF-Expert Member
Feb 14, 2011
830
184
Ni udhaifu mkubwa Serikali yeyote kushindwa kutumia busara na hatimaye kutumia nguvu na ubabe.Swala la serikali kuonyesha kuwa kama madaktari hawatakuwepo tayari basi wanaweza kutumia wanajeshi ni Udhaifu wa Viongozi wetu ambao hawana fikra pana na badala ya kutumia Akili wanatumia Nguvu.
 
Wanabodi.
Kufuatia sakata la mgomo wa Madaktari kuwa kubwa hasa kwenye hospitali ya Muhimbili Dar es Salaam.

Serikali imeongeza Madaktari bingwa 15 kutoka Jeshini Lugalo.

SOURCE: TBC 1 HABARI
 
Hii serikali si legelege tena bali ni tepetepe,Uamuzi wa kukurupuka wa mizengo.Atuambie daktari gani aliyeshindwa kuripoti on Time kafukuzwa kazi.They shud walk the talk and talk the talk.
 
Mabingwa wa wananchi, Mabingwa wa viongozi wako Apollo.

Inaniuma sana wanavyowazalilisha madaktari wetu
 
Sasa madaktari 15 kati ya more than 200 wanaotakiwa wamefanya nini hapo! They need to sit with Doctors and solve the problem waache kugombea posho tu.
 
Afu nimecheka madaktari bingwa kutoka Lugalo wanafundishwa kutumia baadhi ya vifaa,


nimejiuliza hivi wamepeleka madaktari bingwa au manesi?
 
Wanabodi.
Kufuatia sakata la mgomo wa Madaktari kuwa kubwa hasa kwenye hospitali ya Muhimbili Dar es Salaam.

Serikali imeongeza Madaktari bingwa 15 kutoka Jeshini Lugalo.

SOURCE: TBC 1 HABARI
Tunajua kuwa Daktari kutoka MOI, Marealle, ambaye ni daktari bingwa upasuaji wa mfupa ndo wanamuita pale Lugalo ikihitajika.
Na Lugalo wanarefer wagonjwa Muhimbili including askari wao kwa sababu hawana utaalam wa kutosha.
Huku Muhibili wanakuja kuandika rufaa ya wagonjwa kwenda wapi kwa sababu kutibu hawawezi?
 
Sasa madaktari 15 kati ya more than 200 wanaotakiwa wamefanya nini hapo! They need to sit with Doctors and solve the problem waache kugombea posho tu.
na hao wanaokuja ni clinical oficers na Assistant Medical Officers, ambao hiyo kada kwa Muhimbili ilishakuwa phased out zaidi ya miaka 10 ilopita.

 
Mpangilio wa shift za hao madaktari wanajeshi ni: 9 asbuhi، 3 mchana na 3 usiku!
Macinkus
 
Back
Top Bottom