Gwankaja Gwakilingo
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 1,996
- 615
Zakuwapa madaktari wa ndani hazipo za kuwapa wa nje zipo........Masikini Tanzania Rwanda haooooooooo wanatuacha!!!!!!pesa zipo
Zakuwapa madaktari wa ndani hazipo za kuwapa wa nje zipo........Masikini Tanzania Rwanda haooooooooo wanatuacha!!!!!!pesa zipo
Zakuwapa madaktari wa ndani hazipo za kuwapa wa nje zipo........Masikini Tanzania Rwanda haooooooooo wanatuacha!!!!!!
"bei ya kuweka kiraka kwenye suruali inapozidi bei ya kununulia suruali mpya"
hao madaktari watanunuliwa dawa na vitendea kazi vya kuwaduamia wagonjwa au wanakuja navyo wenyewe?
Na serikali watawaambia nini hao madaktari kuhusu wale wakina mama walio rundikana kwenye wodi kama kuku kwenye nchi ambayo haina vita?
Tuone hao madaktari kama hawajawaunga mkono madaktari wabongo kwenye mgomo baada kuona hali halisi ya hospitali zetu.
Hii serikali mbofu mbofu kweli kweli wanatumia nini kufanya maamuzi yao.
Kama watoto watoto tu.
Ubabe ubabe tu wanamkomoa nani?
Baada yakutatua tatizo moja kwa moja wanataka kutengeneza mazingira ya tegemezi hata kwa kitu walicho nauwezo nacho.
akina mama na wazee ndio wanaotumaliza hawataki mabadiriko wamesahau kwamba hata wao walifanyiwa mabadiriko ukutazama wao ndio wanaonyanyasika kwa kiwango kikubwa lakini ukiwaambia wakati wa mabadiriko ni huu hawakubali hali hii itakuwa hvWa kwanza kulaumiwa ni sisi wananchi tumekuwa wajinga kweli,tunapiga kelele sana tatizo vitendo hamna.