Serikali yaogopa mandamano ya CHADEMA

Serikali kupitia Mwanasheria Mkuu na Naibu Spika imezungumzia wasiwasi wake khs maandamano yanayosisitizwa na Wabunge wa Chadema wakati wa Uchangiaji wa Hoja ya Waziri wa Mambo ya Ndani.

Wabunge hao wamesisitiza kuyahamasisha pale ikibidi kama Serikali legelege haitajitahidi kujirekebisha ktk kuboresha maisha ya watanzania...!

Mh H Kiwia wa Ilele Mwanza, alikwenda mbali zaidi pale aliposema maandamano kwake ni kama wazazi wake kisiasa, wakati wa Uchaguzi 2010, bila maandamano hayo ya wakazi wa jiji la Mwanza asingeweza kutangazwa Mshindi ktk uchaguzi huo....., alilieleza bunge leo asbh wakati akitoa mchango wake.

Duniani kote watu wanaandamana, wao hawana ubavu wa kuzuia nguvu ya umma. watu wamezoea mabomu ya machozi, hivi sasa wanaexperience risasi za moto.
ni heri kufa ukidai haki
 
Kwa mtazamo wangu ni kwamba serikali haiogopi maandamano ila inahofia wananchi wake kujuzwa ukweli na cdm.katika mikutano ya cdm uozo,udhaifu na uonevu wa serikali unaanikwa hadharani hivyo kufanya wananchi kuelewa ubaya wa serikali yao na wao wanafunguka.mbona nape anafanya maanda mano?serikali inataka wananchi waendelee kuwa wajinga na wasijue wala kudai haki zao.
 
Pia amelieleza Bunge kuwa maandamano ya CDM bado hayajaanza hizo ni mvua za rasharasha, siku watakapoona maandamano yanaanzia Mwanza kuelekea DAR na kutoka AR-Town hadi DAR Pia kutoka Singapo hadi DAR basi wajue shughuli pevu imeanza.

Hiyo red ni nini?
 
2015 haiko mbali. Inshaalah, sijui mtatumia msamiati gani wa kujiliwaza wakati huo baada ya kugalagazwa? Msamiati wa 'KUCHAKACHUA' hautatosha. CDM inabaki kuwa NGO ya Wanung'unikaji.

KISHONGO,

heshima yako mkuu? naomba utambue kuwa hata mwaka 2010 ccm hawakushinda, bali walitumia nguvu ya dola JK kutangazwa mshindi.
rais aliyeshinda kwenye uchaguzi ule alikuwa Dr. W. Slaa.

inatakiwa ujue kuanzia sasa kuwa mwaka 2015 itakuwa ni issue nyingine Mkuu, hakutakuwa ni wizi, maana chadema watadhibiti mpaka kwenye makalio yenu kuhakikisha hakuna karatasi inafichwa. chupi yako itakaguliwa vilevile mkuu.

watu wamechoka na udhalilishwaji wa serikali ya magamba mkuu, najua hata wewe kinakuuma, lakini asante kwa kutusaidia kujitambua mapema, najua vilevile unaipenda chadema ndiyo maana unatusaidia kupata mbinu mbadala wa kushinda kirahisi.
kila mzalendo wa nchi hii ukimchanja damu yake inatoka chadema. hata wewe uko ccm lakini moyoni uko chadema.

asante mkuu
 
Mtanzania wa leo sio wa mwaka 47, watu wamefunguka sasa na wanajua kila kitu kinachoendelea, magamba wameshapoteza radha kwa watanzaniawa leo, sio wadanyika tena
 
magamba ndo walioleta msamiati wa kuchakachua na wakafanikwa kuchakachua kweli, but kwa kashikashi ya 2010 uchaguzi hawataweza kuchakachua tena kwani mbinu zao zimeshajulikana
 
KISHONGO,

heshima yako mkuu? naomba utambue kuwa hata mwaka 2010 ccm hawakushinda, bali walitumia nguvu ya dola JK kutangazwa mshindi.
rais aliyeshinda kwenye uchaguzi ule alikuwa Dr. W. Slaa.
inatakiwa ujue kuanzia sasa kuwa mwaka 2015 itakuwa ni issue nyingine Mkuu, hakutakuwa ni wizi, maana chadema watadhibiti mpaka kwenye makalio yenu kuhakikisha hakuna karatasi inafichwa. chupi yako itakaguliwa vilevile mkuu.
watu wamechoka na udhalilishwaji wa serikali ya magamba mkuu, najua hata wewe kinakuuma, lakini asante kwa kutusaidia kujitambua mapema, najua vilevile unaipenda chadema ndiyo maana unatusaidia kupata mbinu mbadala wa kushinda kirahisi.
kila mzalendo wa nchi hii ukimchanja damu yake inatoka chadema. hata wewe uko ccm lakini moyoni uko chadema.

asante mkuu

Ni maneno mazuri ya kujipa moyo, lakini ukweli ni kwamba Wa Tz wako makini, hawakurupuki katika kuchagua. Wanaijua CDM vizuri sana kwamba ni chama cha shari chenye ajenda ya maslahi binafsi ya wanaojidai kuwa ndio wenye chama/kampuni/ngo. Watz hawatakipa kura, sana sana kitarajie kupata kura za wamachinga, wanafunzi waliopotoka kimaadili na machalii kule Kaskazini.

Pia ujue, katika zama hizi hakuna kuibiana kura, hicho kisingizio cha kuibiwa kura ilikuwa ni janja ya kuficha aibu ya kushindwa. Usipate kiburi cha 22% uliyopata 2010, hatuuoni muujiza wa CDM wa kuiondoa ccm madarakani, labada atokee mtu ndani ya CCM akimege, ndiye ataweza kutoa changamoto.

Natanguliza pole zangu za kupoteza 2015.
 
Serikali haiogopi maandamano, tumekuwa tukiandamana kupongeza hotuba ya mwenyekiti wa ccm mara nyingi tu.

Tumekuwa tukiandamana kupongeza hotuba ya rais kila mwisho wa mwezi ama katika baadhi ya matukio kama hotuba ya kulaani nfilamu ya mapanki na hotuba ya mbayuwayu.

Tumekuwa tukifanya maandamano kusherekea sikukuu mbalimbali kama siku ya ukimwi, siku ya mwanamke/mtoto wa kike na mambo mengine kama hayo.

Serikali inachoogopa ni maandamano yanayofanywa na vyama vya upinzani na kwa sasa wanaogopa sana maandamano yanayoitishwa na kuongozwa na chadema.

Ni kweli magamba wamekuwa wakiandamana kuunga mkono hayo uliyosema na mengine mengi ambayo hukuyasema.

Shida ni kwamba unaongelea ule wakati nchi yaijaingia mikononi mwa mafisadi. Baada ya ccm kugeuka chama cha magamba na mafisadi mna kitu gani tena cha kufanyia maandamano? wewe mwenyewe hapo ulipo ni muathirika wa sera za magamba.

Kama una akili timamu huwezi kuandamana tena labda uandamane kuunga mkono ufisadi, nchi kuporwa rasilimali madini, wanyama, ardhi nakadhalika nakadhalika.

Sasa hivi mnaweza kuandamana kuunga mkono nchi kuingia gizani. Shame on you magambas
 
Inaonekana unaota. Gadafi ameondolewa lini? Na kwa taarifa yako haondoki ng'o, wapinzani wanazidi kushikishwa adabu. Jana wameua kubwa lao bado kuwanyonyoa wanasiasa wao uchwara. Wapinzani wa Tz kama nao wataleta za kuleta.....kama mnavyoota sasa.....mtafanyiziwa (tena kihalali tu) mpaka mtakaposhika adabu. Endeleeni na ndoto za mchana....CCM inajivua gamba kabla ya kujichukulia ushindi wa kishindo 2015. Hakuna upinzani wa kweli Tz, labda utoke CCM.

Wewe bado una tongotongo. Kanawe
 
Ni maneno mazuri ya kujipa moyo, lakini ukweli ni kwamba Wa Tz wako makini, hawakurupuki katika kuchagua. Wanaijua CDM vizuri sana kwamba ni chama cha shari chenye ajenda ya maslahi binafsi ya wanaojidai kuwa ndio wenye chama/kampuni/ngo. Watz hawatakipa kura, sana sana kitarajie kupata kura za wamachinga, wanafunzi waliopotoka kimaadili na machalii kule Kaskazini. Pia ujue, katika zama hizi hakuna kuibiana kura, hicho kisingizio cha kuibiwa kura ilikuwa ni janja ya kuficha aibu ya kushindwa. Usipate kiburi cha 22% uliyopata 2010, hatuuoni muujiza wa CDM wa kuiondoa ccm madarakani, labada atokee mtu ndani ya CCM akimege, ndiye ataweza kutoa changamoto. Natanguliza pole zangu za kupoteza 2015.

Mimi naona wewe umeshakula wale samaki walioingizwa kutoka Japan wenye sumu na imeshakuathiri. Hayo unayoongea kuhusu magamba nina imani huwezi kutokea kwa sura yako halisi, kamwe kwa sababu ukweli unaujua. Tangulia ocean road maana samaki hao inaelekea wameshaanza kukufanyizia...
 
Mimi naona wewe umeshakula wale samaki walioingizwa kutoka Japan wenye sumu na imeshakuathiri. Hayo unayoongea kuhusu magamba nina imani huwezi kutokea kwa sura yako halisi, kamwe kwa sababu ukweli unaujua. Tangulia ocean road maana samaki hao inaelekea wameshaanza kukufanyizia...

Dua la kuku.....
 
Serikali haiogopi maandamano, tumekuwa tukiandamana kupongeza hotuba ya mwenyekiti wa ccm mara nyingi tu.

Tumekuwa tukiandamana kupongeza hotuba ya rais kila mwisho wa mwezi ama katika baadhi ya matukio kama hotuba ya kulaani nfilamu ya mapanki na hotuba ya mbayuwayu.

Tumekuwa tukifanya maandamano kusherekea sikukuu mbalimbali kama siku ya ukimwi, siku ya mwanamke/mtoto wa kike na mambo mengine kama hayo.

Serikali inachoogopa ni maandamano yanayofanywa na vyama vya upinzani na kwa sasa wanaogopa sana maandamano yanayoitishwa na kuongozwa na chadema.

ni kweli mlikuwa mkiandamana kupongeza ujinga, tena mmekuwa mkiwabeba watu na malori kutoka sehemu mbali mbali kuja kuandamana. upumbavu mtupu.
 
Dua la kuku.....

Mkuu nafahamu vizuri kuwa unaelewa hali halisi, isipokuwa unalazimishwa kufanya kazi uliyotumwa. Nape mwenyewe kaishiwa hana hoja, yeye kila kukicha na mshahara wa Dr. Slaa. matatizo ya elimu ya kihindi ndiyo hayo.
 
Ni maneno mazuri ya kujipa moyo, lakini ukweli ni kwamba Wa Tz wako makini, hawakurupuki katika kuchagua. Wanaijua CDM vizuri sana kwamba ni chama cha shari chenye ajenda ya maslahi binafsi ya wanaojidai kuwa ndio wenye chama/kampuni/ngo. Watz hawatakipa kura, sana sana kitarajie kupata kura za wamachinga, wanafunzi waliopotoka kimaadili na machalii kule Kaskazini. Pia ujue, katika zama hizi hakuna kuibiana kura, hicho kisingizio cha kuibiwa kura ilikuwa ni janja ya kuficha aibu ya kushindwa. Usipate kiburi cha 22% uliyopata 2010, hatuuoni muujiza wa CDM wa kuiondoa ccm madarakani, labada atokee mtu ndani ya CCM akimege, ndiye ataweza kutoa changamoto. Natanguliza pole zangu za kupoteza 2015.

hata watoto wadogo wanajua CCM ni chama cha MAFISADI, wanaifagilia CHADEMA kuwa chama cha UKOMBOZI wa nchi hii
 
Sawa, lakini ukipenda maandamano usilalame ukipatwa na virungu, manundu, kuvunjwa viuno/shingo/miguu etc. Matokeo ya maandamano yanaweza pia kukufanya uishie mortuary na kesho yake maiti yako ikagombewa kisiasa. Hivyo wapenzi wa maandamano tuwe tayari kwa yote, ndio utamu/adha ya maandamano. Mwenye masikio na asikie.
<br />
<br />

usisahau kuwa mwanamapinduzi huwa afaidiki na mapinduzi yake lazima hilo nalo ujue mkuu..
 
<br />
<br />

usisahau kuwa mwanamapinduzi huwa afaidiki na mapinduzi yake lazima hilo nalo ujue mkuu..

Wewe uko tayari?? Sanasana unataka kuwaponza wasio na hatia, wasiokuwa na uelewa wa madhara yatakayowapata.

Sawa, jitoleeni mhanga, sisi tutawasoma kwenye magazeti na kufanya conclusion kuwa ... alijitakia, alikuwa na kimbelembele cha kijinga, alikufa kwa uzembe.
 
serikali kupitia mwanasheria mkuu na naibu spika imezungumzia wasiwasi wake khs maandamano yanayosisitizwa na wabunge wa chadema wakati wa uchangiaji wa hoja ya waziri wa mambo ya ndani.

Wabunge hao wamesisitiza kuyahamasisha pale ikibidi kama serikali legelege haitajitahidi kujirekebisha ktk kuboresha maisha ya watanzania...!

Mh h kiwia wa ilele mwanza, alikwenda mbali zaidi pale aliposema maandamano kwake ni kama wazazi wake kisiasa, wakati wa uchaguzi 2010, bila maandamano hayo ya wakazi wa jiji la mwanza asingeweza kutangazwa mshindi ktk uchaguzi huo....., alilieleza bunge leo asbh wakati akitoa mchango wake.
huyo na wenje walifanya wakazi zaidi ya 6000 wa jiji la mwanza kukusanyika nje ya office ya jiji kabwe aliwatangaza bila kupenda. Big h. Kiwia nyie ndo wakombozi yuko pamoja.
 
Serikali kupitia Mwanasheria Mkuu na Naibu Spika imezungumzia wasiwasi wake khs maandamano yanayosisitizwa na Wabunge wa Chadema wakati wa Uchangiaji wa Hoja ya Waziri wa Mambo ya Ndani.<BR><BR>Wabunge hao wamesisitiza kuyahamasisha pale ikibidi kama Serikali legelege haitajitahidi kujirekebisha ktk kuboresha maisha ya watanzania...!<BR><BR>Mh H Kiwia wa Ilele Mwanza, alikwenda mbali zaidi pale aliposema maandamano kwake ni kama wazazi wake kisiasa, wakati wa Uchaguzi 2010, bila maandamano hayo ya wakazi wa jiji la Mwanza asingeweza kutangazwa Mshindi ktk uchaguzi huo....., alilieleza bunge leo asbh wakati akitoa mchango wake.
HUYO NA WENJE WALIFANYA WAKAZI ZAIDI YA 6000&nbsp;WA JIJI LA MWANZA KUKUSANYIKA NJE YA OFFICE YA JIJI KABWE ALIWATANGAZA BILA KUPENDA. BIG H. KIWIA NYIE NDO WAKOMBOZI YUKO PAMOJA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom