BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,006
| ||
|
| ||
|
mkuu naunga mkono hapo kwenye matumizi ya miaka 50 ya uhuru,mimi nafanya kazi za video production nimeona jinsi baadhi ya taasisi za serikali zinavyotoa hela kwa ajili ya hichi wanachoita documentary juu ya miaka hamsini ni wizi mtupu, kipindi cha tv cha dk 30 kinatengenezwa kati ya sh mil 4 na nusu mpaka mil 6 ukiangalia utengenezaji wa kipindi chenyewe na ubora wake hata ukipewa laki 5 unatengeneza na wala usipate hasara na hii ni tofauti na airtime ktk tv ambayo cjui wanaenda lilia bei gani ktk station.BAK, you got to be mad, to be a sober Tanganyikan,
CAG aangalie na matumizi ya miaka 50 ya Uhuru ambao haupo, hivi tumetumia shillingi ngapi mpaka sasa? Ilikuwa ni lazima kweli, kufanya hiyo adventure? Hizo hela zingekwenda kwenye elimu hasa vyuo vikuu tungekuwa wapi?
Kila nikisoma magazeti najisikia kama vile kizunguzungu, Mfano ni Kasri la RC mtwara ambalo kwa miaka mitatu limekomba billioni moja na millioni mia nne
mkuu naunga mkono hapo kwenye matumizi ya miaka 50 ya uhuru,mimi nafanya kazi za video production nimeona jinsi baadhi ya taasisi za serikali zinavyotoa hela kwa ajili ya hichi wanachoita documentary juu ya miaka hamsini ni wizi mtupu, kipindi cha tv cha dk 30 kinatengenezwa kati ya sh mil 4 na nusu mpaka mil 6 ukiangalia utengenezaji wa kipindi chenyewe na ubora wake hata ukipewa laki 5 unatengeneza na wala usipate hasara na hii ni tofauti na airtime ktk tv ambayo cjui wanaenda lilia bei gani ktk station.
BAK, you got to be mad, to be a sober Tanganyikan,
CAG aangalie na matumizi ya miaka 50 ya Uhuru ambao haupo, hivi tumetumia shillingi ngapi mpaka sasa? Ilikuwa ni lazima kweli, kufanya hiyo adventure? Hizo hela zingekwenda kwenye elimu hasa vyuo vikuu tungekuwa wapi?
Kila nikisoma magazeti najisikia kama vile kizunguzungu, Mfano ni Kasri la RC mtwara ambalo kwa miaka mitatu limekomba billioni moja na millioni mia nne
nadhani ulikuwa wamaanisha iceberg na sio iceberb, ok hapo kwenye allowance nakubali lkn time wastage nakataa coz hiyo alawansi c ndio imelipia huo muda uliopoteza au allowance ni nini labda mi ndio sielewi vizuri.A tip on the iceberb, allowance, time wasted,( not spent) etc etc
Mkuu NN, ndio matatizo ya kuwa na Serikali taahira ambayo haijui kabisa vipi vinastahili kuwa vipaumbele vyake. Wapo wapo tu hawana mipango yoyote inayoeleweka katika kuendesha Serikali. Angalia jinsi walivyovurunda kwenye ile Mkurabita.