Serikali yamgwaya Lema

Kukaa kimya nalo ni jibu kwa mtu ambaye hajitambui.
Silence means Admission; If u er alleged to have said or done something which is detrimental to ur interests/reputation and under normal circumstances any reasonable person wld expect u to denie or say something abt t and u keep quiet then an inference may reasonably be drawn tht u actually said or did the so alleged conduct(with my emphasis from Evidence Act/1964 R:E 2002).
 
Martin Luther King, sikumbuki kama alikuwa anatukana watu matusi.

Je, Lema alihukumiwa kwa kutukana? Sidhani kama alihukumiwa kwa kutukana maana katiba yetu haisemi kwamba kutukana ni "illegal practice"

Mytake: ulisoma kwa kodi za watanzania ili uwe mwanasheria mahiri kama J. Mnyika na Tundu Lissu kwahiyo 'take care'. Wacha kuwa kubwa jinga.
 
Lema ni mpu-uzi kumbe inamuuma kupoteza ubunge kama alijua anakula mkate wenye blueband kwann achezee kwny mchanga uwanahakati bongooo wanaharakai wako us na ulaya anakunywa viroba vyaungaleoo uje kujiita mwanaharakati kaa kimya fanya kaz ya chama chako arusha ilikuwepo b4 u na itaendela kuwepo even after u.shame on u Lema

We Mbwiga tu, naona una stress za mapenzi.
 
Weee mdogo wangu kombesana unadanganyika lema ni mfanyabishara na mwenzako ni mchaga yule yuko kimaslahi nakushanga unamshabikia unapotea hakuna bora jiwe kuliko lema
 
Wewe ni wakupima, akiri zako haziko sawa, Au ndo nyinyi manaoenda maoficni na kuagiza masecretary wenu, Lete nipashe, Mwananchi, Uhuru, Habari leo n.k isipokuwa ya The Citizen na menginey kama haya. Wewe ni mchochezi na ukanyagwe na fikira zako za kikusadikika.
 
Acheni uchonganishi! Kwa nini mnataka kuendeleza mambo kwa kujibishana? Ikulu kaeni kimya ni bora kuliko kujibishana ili sijui iweje? Never argue with................ Msitafute mshindi.
 
unapoteza muda wako bure kumshabikia mfanyabiashara mu-hu-ni,ki-ba-ka, fanya mambo mengine ya maendeleo yako dogo atakuumiza huyo bwe-ge...
 
Lema anauthibitishia umma wa watanzania kuwa yeye sio tu kwamba ni mwanasiasa bali, ni mwanaharakati pia, nilimkubali zaidi alipoamua kwenda magereza mwenyewe, wanasiasa mashuhuri duniani ni wale waliopitia magereza.
 
Mfanyabiashara MUHUNI, KIBAKA yukoje hebu tufafanulie tujue vyote na hizo shughuli za maendeleo unazofanya tuelezee tujue
 
unapoteza muda wako bure kumshabikia mfanyabiashara mu-hu-ni,ki-ba-ka, fanya mambo mengine ya maendeleo yako dogo atakuumiza huyo bwe-ge...

Kichwani haupo sawa wewe,kuna kasoro naona sio kidogo.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Najisikia faraja kuishi kwenye mji unaoongozwa na kamanda lema...alimpiga mkwara mkuu wa mkoa kuhusu kuwahamisha wamachinga,,na mkuu wa mkoa akakunja mkia safiiiiiii...endelea baba
 
Acheni uchonganishi! Kwa nini mnataka kuendeleza mambo kwa kujibishana? Ikulu kaeni kimya ni bora kuliko kujibishana ili sijui iweje? Never argue with................ Msitafute mshindi.
Kuna mambo huwa wanajibu ndani ya saa sita leo siku ya tatu wako kimya ni kwamba hawana na la kujibu nazi alichemka...
 
Lema ni mpu-uzi kumbe inamuuma kupoteza ubunge kama alijua anakula mkate wenye blueband kwann achezee kwny mchanga uwanahakati bongooo wanaharakai wako us na ulaya anakunywa viroba vyaungaleoo uje kujiita mwanaharakati kaa kimya fanya kaz ya chama chako arusha ilikuwepo b4 u na itaendela kuwepo even after u.shame on u Lema

Join Date : 2nd April 2012
Posts : 14
Rep Power : 312
Likes Received 1
Likes Given 0

Sio kosa lako unaezakuwa umetumwa na magamba na wewe ni gamba pia
 
Lema amemrushia mkuu wa kaya kombora kali ambalo hakulitarajia na kina Salva hawajui walikabili vipi! Salva ajue hawezi kutudanganya lolote, Watanzania wa leo sio mabwege, na pia tunamjua bwana mkubwa ni mtu visasi.

 
sharo uko mbali, wewe ni wa arachuga kweli, suala la uchaga unalitolea wapi kwenye biashara, mbona wapemba wengi tu wanafanya biashara? Lema ni mwanasiasa mwanahakati, sio kama Badwel pole
 
unapoteza muda wako bure kumshabikia mfanyabiashara mu-hu-ni,ki-ba-ka, fanya mambo mengine ya maendeleo yako dogo atakuumiza huyo bwe-ge...

Kwani wewe alishakuumiza? Je umri huo kweli uliumia? Pole sana lakini.
 
Back
Top Bottom