BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,011
Serikali yajiumbua yenyewe
Na Saed Kubenea - Imechapwa 01 December 2010
UTATA umeghubika malipo ya mafao ya wabunge na mawaziri waliomaliza ngwe yao tarehe 1 Agosti 2010, MwanaHALISI limeelezwa.
Kuna taarifa kwamba mawaziri walilipwa mara mbili na kufanya baadhi yao kufanikiwa kuchota zaidi ya Sh.100 milioni kila mmoja; huku baadhi ya wabunge wakiweka kibindoni zaidi ya Sh. 77.9 milioni.
Serikali yajiumbua yenyewe | Gazeti la MwanaHalisi
Na Saed Kubenea - Imechapwa 01 December 2010
UTATA umeghubika malipo ya mafao ya wabunge na mawaziri waliomaliza ngwe yao tarehe 1 Agosti 2010, MwanaHALISI limeelezwa.
Kuna taarifa kwamba mawaziri walilipwa mara mbili na kufanya baadhi yao kufanikiwa kuchota zaidi ya Sh.100 milioni kila mmoja; huku baadhi ya wabunge wakiweka kibindoni zaidi ya Sh. 77.9 milioni.
Serikali yajiumbua yenyewe | Gazeti la MwanaHalisi