Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Ni mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama amemuagiza mkuu aw Wilaya ya Hai Novatus Makunga kuwafukuza kazi mara moja wenye viti wote wa vitongoji Wilaya ya Hai. Kisha ameagizwa ateue wengine mara moja. Kosa, hao wenyeviti walimwandikia barua mkuu aw mkoa kumuarifu kuwa hawatashiriki kwenye shuhuli zozote za serikali hata sensa hadi serikali itakapowalipa malimbikizo ya madai yao
Wenyeviti wa vitongoji huchaguliwa na wananchi kwa kupigiwa kura! 🙆
Wenyeviti wa vitongoji huchaguliwa na wananchi kwa kupigiwa kura! 🙆