Wandugu kuna tetesi kuwa waziri wa mambo ya ndani wa Tanzania anaishi hotelini yeye pamoja na familia yake. Analipiwa kila kitu na serikali, kisa hakuna nyumba za watumishi wa umma. Nipo busy kidogo sijaweza kuchunguza na kufahamu kwa undani, kuna mtu anaijua hii ishu atupe details? Maana naona huu ni sawa na ufisadi tu