MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,009
- 2,166
Yaonekana Serikali hii inazidisha juhudi za kutoheshimu sheria au taratibu za utawala.
Kwa wale walioko Ardhi University (ARU) munafahamu vizuri tukio la hivi karibuni (baada ya lile la Prof. Baregu). Kuna muhadhili ameajiliwa kwa 'amri' ya utumishi badala ya Baraza la Chuo. Sikuweza kufahamu jina lake lakini ni taarifa rasmi ambayo nimeipata toka taarifa ya chama cha wanataaluma wa vyuo Vikuu wakionyesha kutoridhika na mtindo huu wa serikali.
Binafsi sijafahamu ni kwa nini jambo hili linazidi kujitokeza sasa hivi, ktk utawala huu uliowahi kuitwa wa 'ki-shikaji'. Ni ishara kwamba bila kuwa 'mshikaji' hupati nafasi au ajira ya maana. Sijui ni nani anaongoza Serikali! Nina wasi wasi baadaye hata U-profesa utapatikana kutoka utumishi.
Kwa wale walioko Ardhi University (ARU) munafahamu vizuri tukio la hivi karibuni (baada ya lile la Prof. Baregu). Kuna muhadhili ameajiliwa kwa 'amri' ya utumishi badala ya Baraza la Chuo. Sikuweza kufahamu jina lake lakini ni taarifa rasmi ambayo nimeipata toka taarifa ya chama cha wanataaluma wa vyuo Vikuu wakionyesha kutoridhika na mtindo huu wa serikali.
Binafsi sijafahamu ni kwa nini jambo hili linazidi kujitokeza sasa hivi, ktk utawala huu uliowahi kuitwa wa 'ki-shikaji'. Ni ishara kwamba bila kuwa 'mshikaji' hupati nafasi au ajira ya maana. Sijui ni nani anaongoza Serikali! Nina wasi wasi baadaye hata U-profesa utapatikana kutoka utumishi.