dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar SMZ imepiga marufuku usafirishaji wa mchele toka visiwani Zanzibar kuja bara hii imekuja mara baada ya aerikali ya SMZ kuondoa kodi katika bidhaa hiyo:
My concern
Hivi nasi kwa nini Watanganyika tusifanye kama wao hatuna cha kupoteza wao ndo watakufa njaa jamani haya ni matusi kwa Watanganyika
My concern
Hivi nasi kwa nini Watanganyika tusifanye kama wao hatuna cha kupoteza wao ndo watakufa njaa jamani haya ni matusi kwa Watanganyika