abdulahsaf
JF-Expert Member
- Aug 31, 2010
- 858
- 130
Written by amini // 12/02/2011 // Habari // No comments
Serikali ya Uswisi imetangaza kutaifisha mali zote za Dikteta Hosni Mubarak,ambaye jioni hii amengolewa madarakani na nguvu ya umma.Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya kimataifa,haijafahamika iwapo serikali za Uingereza,Marekani na nchi nyingine za Magharibi ambako Mubarak ana mali zake (na kujichumia utajiri unaokadiriwa kufikiwa dola za Kimarekani Bilioni 70) nazo zitachukua hatua kama hiyo ya Uswisi au la.Je mafisadi wetu hapa nyumbani wanajifunza lolote katika sakata hili?
I just hope they do!kuna haja ya maloya kujitolea kufuatilia rasilimali za viongozi wetu kuwa ni safi au utapele wa mali ya umma?.
People power yangowa Mubarak
Serikali ya Uswisi imetangaza kutaifisha mali zote za Dikteta Hosni Mubarak,ambaye jioni hii amengolewa madarakani na nguvu ya umma.Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya kimataifa,haijafahamika iwapo serikali za Uingereza,Marekani na nchi nyingine za Magharibi ambako Mubarak ana mali zake (na kujichumia utajiri unaokadiriwa kufikiwa dola za Kimarekani Bilioni 70) nazo zitachukua hatua kama hiyo ya Uswisi au la.Je mafisadi wetu hapa nyumbani wanajifunza lolote katika sakata hili?
I just hope they do!kuna haja ya maloya kujitolea kufuatilia rasilimali za viongozi wetu kuwa ni safi au utapele wa mali ya umma?.
People power yangowa Mubarak