dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
1. Makamu wa kwanza wa Rais (Seif) haruhusiwi kuachiwa nchi. Rais akisafiri nchi anaachiwa makamu wa pili wa Rais, Jaji na Spika.
2.Mawaziri wote wanatoka Chama chenye rais.
3.Hii serikali ya kitaifa ni kwa ajili ya Ccm na Cuf tu. Vyama vingine sjui Chadema, Pona, Cck Dp nk havihusiki.
Je hii ni serikali ya kitaifa kweli? Mimi naona cuf baada ya kuahidiwa nafasi ya juu serikalini hasa Seif aliyekuwa na nguvu Zanzibar alikubali haraka bila kujali maisha ya baadae baada yake. Hapa Cuf walikosea.
2.Mawaziri wote wanatoka Chama chenye rais.
3.Hii serikali ya kitaifa ni kwa ajili ya Ccm na Cuf tu. Vyama vingine sjui Chadema, Pona, Cck Dp nk havihusiki.
Je hii ni serikali ya kitaifa kweli? Mimi naona cuf baada ya kuahidiwa nafasi ya juu serikalini hasa Seif aliyekuwa na nguvu Zanzibar alikubali haraka bila kujali maisha ya baadae baada yake. Hapa Cuf walikosea.