Serikali ya Tanzania Yawekeza MAREKANI!

Kinyungu

JF-Expert Member
Apr 6, 2008
17,353
32,991
Katika kutekeleza kwa vitendo sera yake ya diplomasia ya uchumi serikali ya Tanzania imesema kuwa imewekeza kwenye majengo huko USA ambapo kwa sasa majengo hayo yanapangishwa na serikali inapata USD 250,000/- kwa mwaka.

Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya habari chanel ten leo saa moja jioni.


Tuipongeze serikali yetu jamani kwa mbinu hizi bunifu za uwekezaji.....teh teh teh......
 
Uliza yalinunuliwa Dola ngapi, yanaweza kudumu kwa miaka mingapi ndo tunaweza kujua kama tumeula au tumeliwa.
 
Hiyo $250,000 ni Gross au Net?

Na hela ya iliyotumika kununua hilo jengo ($24m) ingetumika kujenga nyumba ngapi hapa za kuishi hapa bongo? Watu kibao wangepata nyumba za kuishi kama wangetumia kujenga nyumba za bei nafuu, pia ajira and most importantly hela ingebakia kwenye mzunguko wetu hapa hapa sio huko majuu!
 
Ndullu ndivyo anavyomshauri kilaza wetu nae anakubali bila kufanya analysis; huyu gavana ni bomu kabisa hawezi kusaidia uchumi wa Tanzania unaona dollar imeanza kupanda tena!!
 
Hiyo $250,000 ni Gross au Net?

Na hela ya iliyotumika kununua hilo jengo ($24m) ingetumika kujenga nyumba ngapi hapa za kuishi hapa bongo? Watu kibao wangepata nyumba za kuishi kama wangetumia kujenga nyumba za bei nafuu, pia ajira and most importantly hela ingebakia kwenye mzunguko wetu hapa hapa sio huko majuu!

Gross....
 
Si haba naona serikali imejingiza kwa nguvu biashara real estate ,ulaya majumba,hapa nyumbani milikisha mashamba makubwa.
 
Back
Top Bottom