Serikali ya Tanzania yatoa tamko, yamlilia Gaddafi

Membe alitegemea ufadhili toka kwa Gaddafi ili aikwae Magogoni Lodge!............nyoka wa mdimu huyu
 
Membe is not a leader to be taken seriously!!!!!!!!!!1
Mkuu Nyambala, naomba nitofautiane na wewe kwenye seriousness ya Membe. Lets be honest, kwana anatofauti na Mkulu?.

Kwa vile Ben alitoka MFA akapanda ghorofani, then JK naye akatoka MFA na kupanda ghorofani, that means 2015 ni zamu ya Membe kupanda ghorofani kama watangulizi wake.

Kwani Tanzania tunahitaji serious leaders wa aina gani?. Mimi naombea sana CCM imsimamishe Membe. Ningekuwa active kwenye media ningetamani vyombo vyetu vya habari vifanye trend setting kwa kumseti Membe ali ampokee JK ili Tanzania tumpate kiongozi mwingine kama JK!
Membe go go go!

Ila binafsi nimefarijika na kauli ya Membe leo. kuutambua mchango wa Ghafi kwa Bara la Africa.
 
wakati wa vita ya kagera jamaa alimsaidia kijeshi alhaj field mashal general idd amin dada,..kwa hiyo misikiti haijengwi tena..
hayo matamshi anayatoa tbc,akienda ulaya anaongea the opposite joka la mdimu
 
Mwache ajishaue tu wamarekani wakimsikia na misaada basi. Sasa sijui atatulipa mishahara yeye.

mwita siku izi una akili. nao siku zao zinahesabika, sema wao kautaratibu kao kakupeana vijiti kanawafanya waisiangaliwe vibaya saaaana, japokuwa wanatuboa na degree zao za kuhongwa
 
Mkuu Nyambala, naomba nitofautiane na wewe kwenye seriousness ya Membe. Lets be honest, kwana anatofauti na Mkulu?.

Kwa vile Ben alitoka MFA akapanda ghorofani, then JK naye akatoka MFA na kupanda ghorofani, that means 2015 ni zamu ya Membe kupanda ghorofani kama watangulizi wake.

Kwani Tanzania tunahitaji serious leaders wa aina gani?. Mimi naombea sana CCM imsimamishe Membe. Ningekuwa active kwenye media ningetamani vyombo vyetu vya habari vifanye trend setting kwa kumseti Membe ali ampokee JK ili Tanzania tumpate kiongozi mwingine kama JK!
Membe go go go!

Ila binafsi nimefarijika na kauli ya Membe leo. kuutambua mchango wa Ghafi kwa Bara la Africa.

Hiii fomula yako si sahihi.Kwani Mwinyi alitoka MFA na kupanda ghorofani? Kwa taarifa yako wakati wa Ben kwa kuwa yeye ni career dioplomat alikuwa anai run MFA pamoja na JK wako kuwepo. Membe is NOT a politician but a technocrat and a dick....not presidential material ata all.
 
Mkuu Nyambala, naomba nitofautiane na wewe kwenye seriousness ya Membe. Lets be honest, kwana anatofauti na Mkulu?.

Kwa vile Ben alitoka MFA akapanda ghorofani, then JK naye akatoka MFA na kupanda ghorofani, that means 2015 ni zamu ya Membe kupanda ghorofani kama watangulizi wake.

Kwani Tanzania tunahitaji serious leaders wa aina gani?. Mimi naombea sana CCM imsimamishe Membe. Ningekuwa active kwenye media ningetamani vyombo vyetu vya habari vifanye trend setting kwa kumseti Membe ali ampokee JK ili Tanzania tumpate kiongozi mwingine kama JK!
Membe go go go!

Ila binafsi nimefarijika na kauli ya Membe leo. kuutambua mchango wa Ghafi kwa Bara la Africa.

wewe umetumwa na membe kuanza kampeni. kama alishindwa hata kumshauri gaddaf ang'atuke, anasikitika nini.
Rais wetu 2015 atatoka upinzani, si upande wa magamba. I dipict would be SLAA WILBROAD Mwenye umri kama wa michael sata
 
This is just shameful! He corrupted them and I'm glad the "corruptor" of Africa is no more. He had an opportunity to make changes he clang to power for too long. We love Gaddafi more than his own gadamned people! Tushushe na bendera basi kwa siku saba kuomboleza!
 
Mkuu Nyambala, naomba nitofautiane na wewe kwenye seriousness ya Membe. Lets be honest, kwana anatofauti na Mkulu?.

Kwa vile Ben alitoka MFA akapanda ghorofani, then JK naye akatoka MFA na kupanda ghorofani, that means 2015 ni zamu ya Membe kupanda ghorofani kama watangulizi wake.

Kwani Tanzania tunahitaji serious leaders wa aina gani?. Mimi naombea sana CCM imsimamishe Membe. Ningekuwa active kwenye media ningetamani vyombo vyetu vya habari vifanye trend setting kwa kumseti Membe ali ampokee JK ili Tanzania tumpate kiongozi mwingine kama JK!
Membe go go go!

Ila binafsi nimefarijika na kauli ya Membe leo. kuutambua mchango wa Ghafi kwa Bara la Africa.

Wewe yaani tupate Rais kama JK naye awe kiongozi legelege hapana, hapana! We had enough with JK we don't need more mess no no no!
 
Membe acha kukurupuka, hilo **** ulitakiwa utoe kabla madege ya kivita hajasimama juu ya anga la libya!!! Hivi unafikiri sera za hawa makabaila, mabepari, mabeberu na wanyonyaji ni zakupumbaza kama za CCM leo unatoa hivi kesho unabadilisha hivi??? Sio hivyo, inaonekana unaongoza wizara kwa kungalia sinema, koma kabisa utaliingiza taifa katika mgogoro mkubwa usiokuwa na mafanikio. Tena huu uchafu unaoitwa united state of Africa milikuwa wapi kabla ya vita. Kazi kula pesa za kodi zetu tu. Wanafiki wakubwa unatoa tamko kwa niaba ya serikali. Sio kweli kwani hilo ni tamko la CCM na umoja wa mataifa wanalijua hilo. Maana democrasia ya kweli kweli haipo Tanzania. Tamko letu watanzania ni kwamba kujilimbikizia madaraka kama uchifu utokomezwe kabisa barani Africa. Wazungu na waarabu wa loliondo wataondoka tu 2015 utaona maana nasikia kaka yako jk anataka kukurithisha kiti chenu cha ufalme wa ccm halafu ukitoka wewe afuate january makamba. Mwisho wenu umefika na data zenu tunazo. Hao hao mnaowaita wawekezaji watagawa silaha bure mitaani maana wamejaa karibu robo ya idadi ya watanzania.

Koma kutoa tamko kwa niaba ya taifa letu, toa tamko kwa niaba ya CCM.

Aibu imfikie alie kuandikia tamko la kuvuruga nchi yetu. Hivi sreikali yetu haina wasomi wa diplomasia za kimataifa wawashauri. Hivi walimu waliotufundisha UD wapo kweli? Mbona inchi inaelekea kubaya??

Huwezi kumsema vibaya mtu kabla hajaleta chakula maana waweza kulishwa sumu. Unasema hivyo unauwezo wa kununua dawa?? Unauwezo wa kulipa mishahara? Unauwezo wa kutembea na miguu yako mwenyewe?? Unauwezo wa kujilinda?? Mbona ikulu ya sasa ni kama ya mwinyi imejaa matapeli na majambazi tuu.

Kilichotokea libya angalieni kisije tokea hapa baadaye, maana record za ushindi wa CCM zinaitikisa dunia.
 
Mwenye akili timamu huwezi kushabikia kilichotokea Libya. Dharau kwa sovereign state siyo kitu cha kushangiliwa na watu makini na wenye akili timamu kama wanaJF, kama ninavyolazimika kuamini kwa misingi ya falsafa iliyounda jukwaa hili ya 'great thinking'
Tia nywele maji bwana Kigwa,kinyozi yu Karibu,yamkini ukiamua kuzinyoa mwenyewe kabla ya kukufikia atapita na kukwambia either malizia kunyoa vizuri,au umependeza ulivyonyoa. Gudmorning
 
Membe is not a leader to be taken seriously!!!!!!!!!!1

Lakini tamko alilotoa ni tamko la Tanzania kama nchi, sio la kwake...na huo ni msimamo wa Tanzania kama nchi, na sio wa kwake yeye. Kama tamko lilikuwa lege lege, basi kwa kuwa limetoka kwenye nchi yenye msimamo lege lege, na sio waziri lege lege!
 
Anaye uwa kwa upanga nae kufa kwa upanga,acha afe na huyo aliyetoa msimamo wa watanzania ni wakwakwe,upuuzi mtupu mbona asemi ameuwa wangapi mnaona ni kitu cha kawaida? Wameuza nchi yetu kwa uroho wa pesa sitaki kabisa kusikia,
 
Akihojiwa na clouds fm msimamo wa tanzania juu ya kuitambua au kutoitambua libya mh membe anasema hatuitambui ntc kwakuwa sio serikali bali ni kikundi cha wapiganaji, kweli huu ndio msimamo wa watanzania au wa membe?
 
Back
Top Bottom