mwacheni77
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 763
- 209
umenena vema mkuu,wasubir kodi watakapo anza libya yao bila gadafiKwahiyo unasema hata TZ tuteke nchi kwa PICK UP?.Alikataa kuwatambua kwa kuzingatia sheria za kimataifa na si vinginevyo.Kitendo walichofanya waasi wa Libya si cha ubinadamu.Huwezi ukamuua kwa aibu hivyo kiongozi wenu.waarabu si watu waungwana hata kidogo.