Serikali ya tanzania nayo ijiandae

soni

Member
May 24, 2010
18
4
Hapa kwetu Tanzania tumeshuhudia raia wakigeni kutoka kenya akipoteza maisha katika vurugu za kisiasa zilizotokea huko Arusha. hali inayofanana na hii imetokea na wenzetu wanakabiliwa na kesi itakayo wagharimu kiwango kikubwa cha pesa. serikali inabidi kujiandaa kwahili na sikubaki rushiana lawama baina ya wao serikali (ccm) na chama pinzani (chadema).

The parents of a Mexican teenager allegedly killed last year by a bullet fired by a U.S. Border Patrol agent across the Rio Grande river, on Monday sued the U.S. government for $25 million.
The U.S. Border Patrol says Sergio Hernandez Guereca, 15, was pelting U.S. agents with rocks from the Mexican side of the Rio Grande river last June when Border Patrol agents on the U.S. side shot him to death.
But Bob Hilliard, attorney for the Mexican family, said today that the boy was the victim of "brutality" on the part of the federal agents, and was "shot in cold blood."
"We have seen brutality captured on video tape that stuns us as a country, when we think that law enforcement are trained and should not do that," Hilliard said.

SOURCE:Parents of dead Mexican teenager sue U.S. government - Yahoo! News
 
Back
Top Bottom