Ndio maana watoto wenu 3,300 wakafeli kama hichi ndio mnacho wafundisha kuhusu historia
(1) Kilomita kumi kutoka ukanda wa pwani, hili sio jambo la kuzungumza kisiasa tu hili liko umoja wa mataifa na mipaka yote inajulikana. (2) Kiti cha umoja wa mataifa kilichoka sio cha TANGANYIKA ni cha ZANZIBAR.
Mkuu heshima mbele. Kuna vijana wa Tanganyika, ambao wamefaulu mitihani ya darasa la saba, hawajui kuandika wala kusoma. Jee hii imekaaje? Nifafanulie kidogo, sielewi elewi.
Binafsi sijaona sababu za msingi za kuvunja muungano. .