Serikali ya sherehe na maonesho

Congo

JF-Expert Member
Mar 13, 2008
2,062
2,288
Moja kati ya vitu ambavyo serikali yetu imefanikiwa miaka ya hivi karibuni ni kufanya sherehe na maonesho. Kila kukicha viwanja vya Mnazi Mmoja na kwingine kuna shughuli ya maonesho au sherehe inaendelea. Kasma ya sherehe na maonyesho hayo nadhani ni kubwa. Kama ni mashule ingeweza kujenga mengi tu. Nimetonywa kuwa wale maofisa wa serikali wanaokuwa kwenye maonesho hayo wanalipwa shs 100,000/= kwa siku. Mwasemaje?
 
Utasema nini wakati kila mtu anataka kula siku hizi na serikali yetu ya kifisadi inataka kila mtu abebe chake mapema?
Hapo ni mwanzo tu maana tunafanya sherehe wakati pesa za kulipa mishahara tunakopa benki,ndio utajua kuwa tuna serikali mbovu na haifai.
 
Hivi ni serkali ipi mnaizungumzia? mi ninachojua hakuna serkal ila ni kundi la wahuni wanaoitafuna hii nchi..
Uliona wapi nchi yenye serkali halafu haiwezi kufanya chochote?

Umeme shida,
Sukari shida,
Maji shida,
Elimu ya kubabaisha,
Kila siku bidhaa zina bei mpya,
Matajri wababe kuliko hyo inayoitwa serkal,
tukiwa mashoga ndo tupate misaada nk..

tired of this shit.
 
Hivi ni serkali ipi mnaizungumzia? mi ninachojua hakuna serkal ila ni kundi la wahuni wanaoitafuna hii nchi..
Uliona wapi nchi yenye serkali halafu haiwezi kufanya chochote?

Umeme shida,
Sukari shida,
Maji shida,
Elimu ya kubabaisha,
Kila siku bidhaa zina bei mpya,
Matajri wababe kuliko hyo inayoitwa serkal,
tukiwa mashoga ndo tupate misaada nk..

tired of this shit.

KAMA HATA MISHAHARA YA WAFANYAKAZI WA HALMASHAURI ZAKE ZA WILAYA IMECHELEWA KULIPA YAWEZEKANA HAYA MAONESHO IKAWA NI NJIA YA KUJIKIMU KIUCHUMI WAFANYAKAZI WA TAASISI NA IDARA ZA SERIKALI HUSIKA......

Taabu serikali yetu ikitoka AGIZO.....tafsiri yake nadhani ni CHANGANYA NA YAKO (kwako mkuu wa idara)....Pesa inayoendelea kutumika katika MAADHIMISHO HAYA (naona kila Wizara na Idara ina wiki yake) ingetosha kurekebisha mengi yanayotusibu kiuchumi na kijamii...

Bahati mbaya VIONGOZI wetu PRIORITIES zao ni tofauti na zile za ukweli za WANANCHI na NCHI YENYEWE......
 
Back
Top Bottom