Congo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 2,062
- 2,288
Moja kati ya vitu ambavyo serikali yetu imefanikiwa miaka ya hivi karibuni ni kufanya sherehe na maonesho. Kila kukicha viwanja vya Mnazi Mmoja na kwingine kuna shughuli ya maonesho au sherehe inaendelea. Kasma ya sherehe na maonyesho hayo nadhani ni kubwa. Kama ni mashule ingeweza kujenga mengi tu. Nimetonywa kuwa wale maofisa wa serikali wanaokuwa kwenye maonesho hayo wanalipwa shs 100,000/= kwa siku. Mwasemaje?