Serikali ya mkoa wa Arusha yakimbia mji

Aibu yao kudadadeki mpaka wajiuzuru wote, damu iliyo mwagika itawatafuna
 
Huu ni mwanzo tu wa mwisho wao . . Arusha ni yetu sasa baada ya mafisadi na wauaji kukimbilia kusikojulikana. Nguvu ya umma daima.


serikali imefanya kosa kubwa mno kujitenga na wananchi na kushindwa kulaani au kutoa pole kwa wananchi....sasa msingi wa kuwafungulia mashtaka CHADEMA Kuwa wamesababisha fujo upo wapi......??? ni wazi sasa imedhihirika kuwa siku ile watu wangeandamana kwa amani..
watanzania ni watu wa amani ...ila kuna watu mtaji wao siku zote umekuwa kutishia watu kuwa amani inavunjika wakati wao ndio wanaoivunja pale wanaposhindwa..
Tanzania haina udini ila kuna watu wanapenda kutumia kofia ya udini kutaka huruma ya section ya watanzania pale wanapoona kuwa wanshindwa kazi.........ionekane kuwa wanaonewa kwa sababu ya dini yao........ni vema sasa wanananchi wakajuwa hayo ....mwalimu ametujenga imara kiasi kuwa anayeleta hoja za udini na ukabila usiokuwapo anataka kutafuta mtaji wa kisiasa tu!!

ccm kuanzia sasa acheni watu waandamane nyie polisi mbakie kuwa waangalizi wa amani tu!!!
 

hii nimeipenda sana. hata hiyo ya majambazi usiku sijui kama wanaiweza maana mijioga kweli inatafuta wasio na silaha

ukweli usiopingika ni kuwa kuna mtu anaongoza serikali bila wananchi na kuna mtu anaongoza wananchi ila hana serikali

Senki yu ya nguvu nimekupa!
 
hata yule mtoto wa mkulima anaependa kutumiwa na mafisadi na anaependa kulia nae hakuepo kweliiiiiiiii,hawana jipya hata kidogo mlopokaji makamba je na nundu yake na mzimu wake wa ubakaji nae pia hakuepo?..................
 
Leo imedhihirika wazi kwamba unyama uliofanywa na CCM kuwaua wenzetu umeendelea kuisuta serikali na hivyo kukosa ujasiri wa kujitokeza hadharani hata tu kutembelea majeruhi pale Mount Meru hospital.

Hali hiyo imeendelea leo wakati wa kuaga miili ya wana ukombozi pale ambapo serikali imeingia tena mitini kuanzia Mkuu wa Mkoa Rc Shirima na mkuu wa Wilaya ya Arusha.

Ni kana kwamba CHADEMA imepewa kuongoza serikali mkoani Arusha leo na ikafanikisha kwa ufanisi mkubwa kuliko hata serikali ya Mafisadi na wauaji. Leo imeonekana kumbe hamna haja ya polisi kwani wao wanaweza kufanya tu shughuli za kusaka majambazi usiku.

Aibu iliyoifanya serikali ya mkoa kutohudhuria mazishi naomba iwasute hivyo hivyo na wafanye maamuzi ya busara ya kujiuzulu kwa wale wahusika wa mauaji ili at least wajisafishe. Ila wasipojisafisha au kuchukua hatua madhubuti itakuwa ngumu mno kuaminika tena mikononi mwa wananchi wa Arusha na hata nchi nzima. Sijajua watatumia sabuni ya namna gani kujisafisha.Waendelee kukaa mafichoni hivyo hivyo na wasijaribu kuitisha vimikutano vyao vya kichovu tena.
Mwanzo wa ukombozi umeshaanza tayari na CCM kwa Arusha imetoweka na hopeful harakati hizi zitaendelea mikoa mingini hadi bendera ya mwisho ya CCM itakapokuwa imeshushwa.
Aluta Continua!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

hii habari imeandikwa kweli na great thinker.Mvumbuzi nakuvulia kofia unastahili pongezi.kweli silence is the answer for the stupid.sii rahisi kwao kutokea wanajua wazi wameuwa.nadhani itakuwa mwiko kwao kuzuia maandamano tena ya Chadema na vyama vingine vya upinzani.
 
Back
Top Bottom