Mongoiwe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 524
- 263
jamani kuna mambo ya ajabu,lakini pia yapo ya kushangaza. Hii post yako inanishangaza? Hivi yale mafuriko yalibagua huyu muislam na huyu muanglikana au huyu hafuati dini yoyote? Mm!chuki hufunika busara.
Unaonaje endapo taasisi rasmi za kidini kama vatican na nyinginezo zingetoa misaada hiyo,suala la kueneza uislamu lingekuwepo?
Binadamu yeyote anayepatwa na matatizo ni muhimu wenzake wakamsaidia. Je,umechangia kiasi gani ili kuwanusuru na uislamu ambao kwako inaonekana ni nongwa kubwa?
tatizo ni je, hao waathirika wenyewe watajengewa au nyumba hizo watajengewa wakina yakhe tu? Maana tunajuana waswahili!