Serikali ya Kikwete isiichezee Mahakama ya Rufani

Na kama tunaanza kuwaburuza majaji ndio tunataka tujifunze nini?Hii itakuwa ni nchi isiyofuata sheria maana kama kuna maslahi nayapigania hata kama ni kinyume na sheria, ntawaamuru majaji wawe mabubu.
Come on, kuna vitu sasa tuvivuke maana tumepevuka. Tuache hizi hadithi za kurudi nyuma ya zaidi ya tulipofika kwa ajiri ya interest ya watu wachache tu.
Kwanini wagombea binafsi wanaogopwa?
 
[Hapa mtaona jinsi serikali itavyogaragazwa kwenye mafumbi na kuangukia pua, mgombea binafsi October yupo!, ila nadhani ataishia kwenye ubunge na udiwani, kwenye urais itakuwa fujo!.[/QUOTE]


Au isomeke hivi- kwenye urais atakufa, accord to sheirkh yhy.

.....................................
Amani yetu inatumika vibaya
 
[Hapa mtaona jinsi serikali itavyogaragazwa kwenye mavumbi na kuangukia pua, mgombea binafsi October yupo!, ila nadhani ataishia kwenye ubunge na udiwani, kwenye urais itakuwa fujo!.


Au isomeke hivi- kwenye urais atakufa, accord to sheirkh yhy.

.....................................
Amani yetu inatumika vibaya[/QUOTE].
Utabiri huo ni kwa atakayempinga ndani ya CCM.
 
Kwa aina ya madiwani tulio nao nchini kwetu na hasa mkoa wa Daresalaam ni bora wangeruhusu wagombea binafsi. Kwa njia hii zile taka taka za CCM ambazo ndizo zinazoamua hatima ya manispaa za Ilala, Kinondoni na Temeke tutaachana nazo kabisa.Tunahitaji madiwani na wenyeviti wa serikali za mitaa walioenda shule kama Mheshimiwa Janet Mbene Mwenyekiti wa mtaa wa Masaki.
 
Lazima serikali iogope mgombea binafsi kwani ule msemo wake maaarufu wa kuweka mgombea asiyekubalika halafu wananchi mnaambiwa kuwa msichague mtu ila chama wataupeleka wapi? Piga ua garagaza Mgombea binafsi hatakubaliwa na serikali kwani CCm itapoteza wengi waliochoshwa na hali ilivyo sasa.
 
Lazima serikali iogope mgombea binafsi kwani ule msemo wake maaarufu wa kuweka mgombea asiyekubalika halafu wananchi mnaambiwa kuwa msichague mtu ila chama wataupeleka wapi? Piga ua garagaza Mgombea binafsi hatakubaliwa na serikali kwani CCm itapoteza wengi waliochoshwa na hali ilivyo sasa.

Na hii ndio sababu kubwa ya uoga wa CCM......damn!
 
Hata wakikataa kwa nguvu kiasi gani, ili nchi iwe ni nchi inayoheshimu utawala wa sheria kwa hili hawana mlango wa kukimbilia.
Kama watalikataa kwa nguvu shauri la mgombea binafsi ntawashangaa sana wakijidai kufata utawala wa sheria maana nakumbuka hawa hawa wakuu wa CCM walidai kuwa mafisadi wataonekana wana hatia mara tu mahakama zitakapo watia hatiani.
Sasa kwa mafisadi CCM inategemea nguvu za mahakama na kwa mgombea binafsi mahakama si lolote si chochote! What a double standard?
 
Dunia ya sasa imebadilika, inaenda kwa professional ethics. Wanasiasa wasiobadilika na dunia wana wakati mgumu. Mbali tu na mahakama zetu wanasiasa wamepata shida kubwa kupenyeza siasa na tumeshuhudia hili kwenye nyanja nyingine pia za professionalism, mfano ni bunge lilipomwaga sifa kwa TANESCO kusimamia profession kwa kazi iliyofanywa na Network Group Solutions, National Audit Office inavyoshangaza wanasiasa, Mashirika ya Ukaguzi ya kimataifa Big Four yalivyowahi kufukuzwa kazi BOT na TANESCO kwa kusimamia profession badala ya siasa n.k.

Kwa mahakama kweli serikali inabidi iwe makini. Mahakama siyo Network Group Solution, au Ernest & Young au Deloitte. Mahakama si Consultants kwa sababu ya kutafsiri sheria, uamuzi wa mahakama siyo ushauri wa Consultant. Uamuzi wa mahakama kwa tafsiri ya kikatiba ni final. Kinyume na hapo udikteta unachukua nafasi.

Serikali yetu ikumbuke kuwa mahakama haitumwi kazi na serikali wala chama cha siasa.
 
Kwani mahakama ya Rufani ya Tanzania inayo meno mbele ya Serikali? Majaji wote si ni wateule wa Rais? Utaweza vipi kumlaani mzazi wako na ikaw?

Nani anawachagua hawa majaji na kuwaapisha? wanariport kwa nani?
kama Rais ndiyo boss wao - basi tuna complete circle kwamba rais ndiye mwenyekiti wa CCM, na kiongozi wa Mkuu wa Serikali - sasa je majaji wanaweza kumwangusha boss wao? -
Kikatiba - tuna mihimili mitatu - na kila muhimili una mamlaka yake, lakini kiukweli mihimili miwili yaani Bunge na Mahakama haina uwezo wa kuadhibu mhimili wa tatu ambao ni Serikali. - kwa kifupi mahakama na bunge zinariport kwa rais ( Ikulu)

- reference ni issue ya bunge kuhusu richmond- bunge limesema linaanchia uongozi ngazi za juu uamue - uongozi gani huo? wakati bunge lilitakiwa limalize na liamue lenyewe sababu ni chombo huru chenye mamlaka ki katiba.

Na ndiyo maana kina marmo wanapata guts za kusema wanayotaka kusema.

Hapa naungana na Lekanjobe kwa mtazamo wangu - at a background - Rais ndiye boss wa mihimili hii mitatu.
 
.
June ni mbali, April wanamaliza kila kitu na kufunga kazi. Issue ya kisheria sio uwepo wa mgombea binafsi, wanabishania legal techcalities on jurisdiction of the court over the constitution, kwamba mahakama kuu haina uwezo wa kutengua kipengele kwenye katiba kwa sababu hiyo mahakama ni subject ya hiyo katiba. Hoja za serikali ni bunge ndilo lenye mamlaka hiyo.

Hapa mtaona jinsi serikali itavyogaragazwa kwenye mafumbi na kuangukia pua, mgombea binafsi October yupo!, ila nadhani ataishia kwenye ubunge na udiwani, kwenye urais itakuwa fujo!.

Pasco mkuu vipi unamlinda muungwana? Kama kwenye urais itakuwa fujo kwanini huku kwenye ubunge na udiwani kusiwe fujo? Mimi nadhani kwenye Urais itakuwa rahisi zaidi kwani sio wengi wenye uwezo wa kuzunguka nchi nzima kujinadi; na kwasababu hiyo sitegemei fujo kwenye kinyang'anyiro cha UKULU!!
 
23rd February 2010


email.png

B-pepe



printer.png

Chapa



comment_bubble.png

Maoni




Agustino.jpg

Jaji Mkuu wa Tanzania, Augustino Ramadhani



Jaji Mkuu wa Tanzania, Augustino Ramadhani, amewaonya watu wanaotoa msimamo kuhusu mgombea binafsi katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Alisema hakuna raia wa kawaida, mwenye dhamana ama mamlaka inayopaswa kutoa msimamo wa suala hilo, isipokuwa mahakama pekee.
Jaji Ramadhani alisema: "Hata mimi binafsi ingawa ni Jaji Mkuu, siwezi na sina uwezo wa kulizungumzia suala hilo, sasa sijui hawa watu wanaofanya hivyo wanapata wapi mamlaka hayo."
Wakati Jaji Mkuu akitoa kauli hiyo, tayari mawaziri wawili wamekwisha kutoa misimamo kwa niaba ya serikali, kwamba hakutakuwa na mgombea binafsi katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Mawaziri ambao wamezungumzia suala hilo na kutoa misimamo kwa niaba ya serikali ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera na Uratibu wa Bunge), Philip Marmo.
Jaji Mkuu alisisitiza: "Hata mimi sina uwezo wa kuzungumzia suala ambalo bado lipo mahakamani kwa mujibu taaluma yangu, lakini hao wengine wanaofanya hivyo…sijui."
Hata hivyo, Jaji Ramadhani hakutaka kuingia kwa undani kuhusu suala hilo na badala yake alisema wananchi wasubiri uamuzi wa Mahakama ya Rufaa ifikapo Aprili 8 mwaka huu.
Mbali na mawaziri hao, Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi ya Taifa (Nec), Rajabu Kiravu, alizungumzia suala hilo na kusema mabadiliko yatakayoruhusu mgombea binafsi, lazima yahusishwe mabadiliko ya sheria.
Pia Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila, aliyefungua kesi iliyosababisha kutolewa uamuzi wa kuwepo mgombea binafsi, amekuwa akilizungumzia suala hilo mara kadhaa.
Wiki iliyopita Membe aliwaeleza mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini, kuwa suala la mgombea binafsi katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu halitawezekana.
Mabalozi hao waliomba kukutana na Waziri Membe ili awaeleleze hali ya kisiasa nchini na maandalizi ya uchaguzi huo.
Membe alisema serikali haipingi suala la mgombea binafsi, lakini kwa kuwa suala hilo linagusa katiba inabidi kwanza mabadiliko ya sheria yafanyike.
Alisema mabadiliko ya katiba ni mchakato unaochukua muda mrefu, hivyo ni dhahiri kwamba mgombea binafsi hawezi kushiriki katika uchaguzi wa mwaka huu.
Mahakama kuu mwaka 2006 iliruhusu kuwepo mgombea binafsi hakumu ambayo haijabadilishwa mpaka sasa.
Wakati huo huo, Jaji Ramadhani jana alifungua mafunzo ya masuala ya takwimu kwa watendaji wa mahakama kutoka mikoa mbalimbali.
Akizungumza na watumishi hao, alisema mahakama hapa nchini inakabiliwa na uhaba wa takwimu hatua inayosababisha kusikiliza tena kimakosa kwa kesi zilizowahi kutolewa uamuzi.
Alisema kutokana na kutokuwepo takwimu za kesi mba limbali kunawafanya majaji kupelekewa kesi zilizotolewa maamuzi bila kujua.
Mafunzo hayo ya watumishi wa mahakama yaliyofunguliwa jana na Jaji Ramadhani yanafanyika chuo cha takwimu kilichopo Changanyikeni jijini Dar es Salaam.



CHANZO: NIPASHE
 
23rd February 2010


email.png

B-pepe



printer.png

Chapa



comment_bubble.png

Maoni




Agustino.jpg

Jaji Mkuu wa Tanzania, Augustino Ramadhani



Jaji Mkuu wa Tanzania, Augustino Ramadhani, amewaonya watu wanaotoa msimamo kuhusu mgombea binafsi katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Alisema hakuna raia wa kawaida, mwenye dhamana ama mamlaka inayopaswa kutoa msimamo wa suala hilo, isipokuwa mahakama pekee.
Jaji Ramadhani alisema: “Hata mimi binafsi ingawa ni Jaji Mkuu, siwezi na sina uwezo wa kulizungumzia suala hilo, sasa sijui hawa watu wanaofanya hivyo wanapata wapi mamlaka hayo.”
Wakati Jaji Mkuu akitoa kauli hiyo, tayari mawaziri wawili wamekwisha kutoa misimamo kwa niaba ya serikali, kwamba hakutakuwa na mgombea binafsi katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Mawaziri ambao wamezungumzia suala hilo na kutoa misimamo kwa niaba ya serikali ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera na Uratibu wa Bunge), Philip Marmo.
Jaji Mkuu alisisitiza: “Hata mimi sina uwezo wa kuzungumzia suala ambalo bado lipo mahakamani kwa mujibu taaluma yangu, lakini hao wengine wanaofanya hivyo…sijui.”
Hata hivyo, Jaji Ramadhani hakutaka kuingia kwa undani kuhusu suala hilo na badala yake alisema wananchi wasubiri uamuzi wa Mahakama ya Rufaa ifikapo Aprili 8 mwaka huu.
Mbali na mawaziri hao, Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi ya Taifa (Nec), Rajabu Kiravu, alizungumzia suala hilo na kusema mabadiliko yatakayoruhusu mgombea binafsi, lazima yahusishwe mabadiliko ya sheria.
Pia Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila, aliyefungua kesi iliyosababisha kutolewa uamuzi wa kuwepo mgombea binafsi, amekuwa akilizungumzia suala hilo mara kadhaa.
Wiki iliyopita Membe aliwaeleza mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini, kuwa suala la mgombea binafsi katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu halitawezekana.
Mabalozi hao waliomba kukutana na Waziri Membe ili awaeleleze hali ya kisiasa nchini na maandalizi ya uchaguzi huo.
Membe alisema serikali haipingi suala la mgombea binafsi, lakini kwa kuwa suala hilo linagusa katiba inabidi kwanza mabadiliko ya sheria yafanyike.
Alisema mabadiliko ya katiba ni mchakato unaochukua muda mrefu, hivyo ni dhahiri kwamba mgombea binafsi hawezi kushiriki katika uchaguzi wa mwaka huu.
Mahakama kuu mwaka 2006 iliruhusu kuwepo mgombea binafsi hakumu ambayo haijabadilishwa mpaka sasa.
Wakati huo huo, Jaji Ramadhani jana alifungua mafunzo ya masuala ya takwimu kwa watendaji wa mahakama kutoka mikoa mbalimbali.
Akizungumza na watumishi hao, alisema mahakama hapa nchini inakabiliwa na uhaba wa takwimu hatua inayosababisha kusikiliza tena kimakosa kwa kesi zilizowahi kutolewa uamuzi.
Alisema kutokana na kutokuwepo takwimu za kesi mba limbali kunawafanya majaji kupelekewa kesi zilizotolewa maamuzi bila kujua.
Mafunzo hayo ya watumishi wa mahakama yaliyofunguliwa jana na Jaji Ramadhani yanafanyika chuo cha takwimu kilichopo Changanyikeni jijini Dar es Salaam.



CHANZO: NIPASHE
Ndio hapo sasa! Kuchanganyikiwa kwa wakuu na waheshimiwa wetu kisa tu, wao ni wafanyakazi maarufu wa serikali.Jamani, ndio mnaanza kudharau mahakama? Hivi siku mkifika kule mnalialia na shida zenu halafu mahakama ikawatupilia mbali mtamlaumu nani?
Maana zipo siku zinakuja, maguvu na uwezo wetu unaweza kutetereka halafu kama mnaanza kuvidharau na vyombo vikubwa kama mahakama, nani atakuwa upande wenu! Tumieni busara na sio egos!
 
23rd February 2010


email.png

B-pepe



printer.png

Chapa



comment_bubble.png

Maoni




Agustino.jpg

Jaji Mkuu wa Tanzania, Augustino Ramadhani



Jaji Mkuu wa Tanzania, Augustino Ramadhani, amewaonya watu wanaotoa msimamo kuhusu mgombea binafsi katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Alisema hakuna raia wa kawaida, mwenye dhamana ama mamlaka inayopaswa kutoa msimamo wa suala hilo, isipokuwa mahakama pekee.
Jaji Ramadhani alisema: “Hata mimi binafsi ingawa ni Jaji Mkuu, siwezi na sina uwezo wa kulizungumzia suala hilo, sasa sijui hawa watu wanaofanya hivyo wanapata wapi mamlaka hayo.”
Wakati Jaji Mkuu akitoa kauli hiyo, tayari mawaziri wawili wamekwisha kutoa misimamo kwa niaba ya serikali, kwamba hakutakuwa na mgombea binafsi katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Mawaziri ambao wamezungumzia suala hilo na kutoa misimamo kwa niaba ya serikali ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera na Uratibu wa Bunge), Philip Marmo.
Jaji Mkuu alisisitiza: “Hata mimi sina uwezo wa kuzungumzia suala ambalo bado lipo mahakamani kwa mujibu taaluma yangu, lakini hao wengine wanaofanya hivyo…sijui.”
Hata hivyo, Jaji Ramadhani hakutaka kuingia kwa undani kuhusu suala hilo na badala yake alisema wananchi wasubiri uamuzi wa Mahakama ya Rufaa ifikapo Aprili 8 mwaka huu.
Mbali na mawaziri hao, Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi ya Taifa (Nec), Rajabu Kiravu, alizungumzia suala hilo na kusema mabadiliko yatakayoruhusu mgombea binafsi, lazima yahusishwe mabadiliko ya sheria.
Pia Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila, aliyefungua kesi iliyosababisha kutolewa uamuzi wa kuwepo mgombea binafsi, amekuwa akilizungumzia suala hilo mara kadhaa.
Wiki iliyopita Membe aliwaeleza mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini, kuwa suala la mgombea binafsi katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu halitawezekana.
Mabalozi hao waliomba kukutana na Waziri Membe ili awaeleleze hali ya kisiasa nchini na maandalizi ya uchaguzi huo.
Membe alisema serikali haipingi suala la mgombea binafsi, lakini kwa kuwa suala hilo linagusa katiba inabidi kwanza mabadiliko ya sheria yafanyike.
Alisema mabadiliko ya katiba ni mchakato unaochukua muda mrefu, hivyo ni dhahiri kwamba mgombea binafsi hawezi kushiriki katika uchaguzi wa mwaka huu.
Mahakama kuu mwaka 2006 iliruhusu kuwepo mgombea binafsi hakumu ambayo haijabadilishwa mpaka sasa.
Wakati huo huo, Jaji Ramadhani jana alifungua mafunzo ya masuala ya takwimu kwa watendaji wa mahakama kutoka mikoa mbalimbali.
Akizungumza na watumishi hao, alisema mahakama hapa nchini inakabiliwa na uhaba wa takwimu hatua inayosababisha kusikiliza tena kimakosa kwa kesi zilizowahi kutolewa uamuzi.
Alisema kutokana na kutokuwepo takwimu za kesi mba limbali kunawafanya majaji kupelekewa kesi zilizotolewa maamuzi bila kujua.
Mafunzo hayo ya watumishi wa mahakama yaliyofunguliwa jana na Jaji Ramadhani yanafanyika chuo cha takwimu kilichopo Changanyikeni jijini Dar es Salaam.



CHANZO: NIPASHE

Uamuzi wa mahakama kuu na mahakama ya rufani ni sheria tayari, na huwa haukiuki katiba ya Tanzania. Kwa hiyo mgombea binafsi ruksa bila hata kubadili katiba, maamuzi yao ni sheria na ni rejea ya kisheria kuhusu uchaguzi ujao. Tujiandae tu, uraisi na ubunge, hatuhitaji chama.
 
Pasco mkuu vipi unamlinda muungwana? Kama kwenye urais itakuwa fujo kwanini huku kwenye ubunge na udiwani kusiwe fujo? Mimi nadhani kwenye Urais itakuwa rahisi zaidi kwani sio wengi wenye uwezo wa kuzunguka nchi nzima kujinadi; na kwasababu hiyo sitegemei fujo kwenye kinyang'anyiro cha UKULU!!

Bulesi, nilishajibu hapa,
.
Nazungumzia practicability, unless sheria itamke wazi mgombea binafsi wa urais, atajigharimia,

Kwa sasa kila mgombea urais anapewa ulinzi 24/7, logistics na media access kwenye public media kwa fedha za umma, wakijitokeza watu 100 kwenye urais, we don't have the capacity to do all that for all of them.
 
Back
Top Bottom