Serikali ya Kikwete imesababisha yafuatayo toka alipoingia madarakani.
1. Uchumi wa nchi kuyumba sana.
2. Shilingi ya TZ kupoteza thamani zaidi dhidi ya US dollar.
3. Mfumuko wa bei ambao haujawahi kutokea.
4. Udini kushamiri.
5. Ufisadi kuongezeka zaidi.
6. Ongezea sababu nyingine zilizosahaulika........
Wanajf ni mtazamo tu, naomba tusitafutane.
1. Uchumi wa nchi kuyumba sana.
2. Shilingi ya TZ kupoteza thamani zaidi dhidi ya US dollar.
3. Mfumuko wa bei ambao haujawahi kutokea.
4. Udini kushamiri.
5. Ufisadi kuongezeka zaidi.
6. Ongezea sababu nyingine zilizosahaulika........
Wanajf ni mtazamo tu, naomba tusitafutane.