Serikali ya Kenya yakaza buti dhidi ya kundi la MRC

Hivi ni kwanini watu wa pwani ya Kenya wanataka kujitenga?Ni kweli kuwa serikali ya Nairobi inaonyesha namna yeyote ya kutowajali? Nini hasa chanzo cha hili vuguvugu la kutaka kujitenga kutoka Kenya?

Mkuu,

....sio watu wa Pwani wanaotaka kujitenga bali hawa MRC nd'o wanaotilia shinikizo hio ishu.
 
Na kwanini watokee hao watu wanaojiita MRC na kutaka kujitenga?

Hao MRC wana-agenda zao za udini mkuu mwenzangu. Usione wanapiga kelele ya kujitenga ukadhani kua ni
Pwani yote ya Kenya maana Pwani ni kubwa mno.
 
VIONGOZI wawili wa Pwani Jumamosi walionekana kulitetea Kundi la Mombasa Republican Council (MRC), huku mmoja wao akisema yuko tayari kulifadhili iwapo litamfuata.

Mbunge Maalum wa ODM Sheikh Mohamed Dor, alisema MRC wanaweza kufadhiliwa na nchi yoyote ya kigeni ulimwenguni iwapo mienendo yake inafuata sheria.

“Mimi sijaanza. Lakini wakija kwangu, wakiniomba, nitawafadhili,” alisema Sheikh Dor alipokuwa akizindua rasmi chama chake katika jumba la mikutano la Chandaria mjini Mombasa.


Sheikh Dor alisema kundi hilo linafaa kufadhiliwa na mtu yeyote, hata mataifa ya Ulaya.

“Mkenya yeyote, Mganda yeyote na Mtanzania yeyote ana haki ya kuisaidia MRC kwa sababu haijavunja Katiba. Ikiwa pesa zinatoka Italia, Ufaransa, zatoka Ujerumani, zije. Bora MRC hawajakiuka Katiba,” akasema.

Alieleza kuwa MRC wanataka haki za Wapwani. Wanataka masuala ya ardhi, wanataka nafasi za kazi na kadhalika.

“Mimi nawambia MRC waendelee kutafuta pesa wafadhili shughuli zao,” akasema.

Mbunge huyo wa chama cha Waziri Mkuu Raila Odinga alizindua chama kipya cha Unity Party of Kenya (UPK) na kusema kitawaunganisha Wakenya wote.

Vile vile alikashifu hatua ya polisi ya kuwaandama viongozi wa MRC na kuwatia mbaroni bila ya kuwa na hatia yoyote.

Mahakama

“Hakika ni hatua mbaya kuwaandama viongozi wa MRC. Tungoje wakati kiongozi wa MRC amevunja katiba au sheria ndipo tumfuate. Kuna mahakama. Wacha korti iamue,” akasema.

Mwenzake wa Mvita Najib Balala alikanusha madai ya Mkurugenzi wa Idara ya Upelelezi wa Jinai (CID), Ndegwa Muhoro kwamba baadhi ya wafanyibiashara na wanasiasa wa Pwani wanafadhili kundi hilo.

Akizungumza mjini Voi alipofungua afisi ya chama chake cha Republican Congress Party (RCP), Bw Balala, aliitaka Serikali ifanye uchunguzi kwa makini kabla ya kufanya uamuzi ambao unaweza kuwahujumu baadhi ya washukiwa haki zao.

“Serikali inafaa kufanya uchunguzi wa kutosha kabla ya kuwatia nguvuni washukiwa kwa madai ya uongo na uvumi,” alisema.

Vilevile, aliitaka Serikali wakati inapowatia mbaroni wanachama wa kundi hilo, kufanya hivyo kwa njia ambayo haitazua hofu na taharuki miongoni mwa wenyeji wa Pwani.

“Tunataka eneo hili liwe na amani ili tuweze kuimarisha maendeleo,” akasisitiza.

Hata hivyo, aliwaonya wafuasi wa MRC dhidi ya kuvuruga mitihani ya kitaifa pamoja na upigaji kura.

Alisema kwa kuwa hakuna nchi inayoitwa Pwani, wakazi wa mkoa huo bado wanategemea matokeo bora kwenye mitihani pamoja na kuchagua viongozi wazuri ili kuboresha maisha yao.

Aliwaonya wakazi wa eneo hilo dhidi ya kushiriki katika ghasia ambazo zinanuia kutatiza mitihani ya kitaifa itakayoanza wiki hii.

Bw Balala alisema kuwa kiwango cha masomo mkoani Pwani kimeenda chini mno na ikiwa kundi hilo litasababisha vurugu, basi kutashuhudiwa matokeo mabaya zaidi.

“Si vyema kuvuruga masomo ya watoto wetu wakati ambapo wanafanya mitihani yao ya kitaifa. Wamekuwa wakijitayarisha kwa muda mrefu na wana haki ya kufanya mitihani hiyo,” alisema.

Kuhusu upigaji kura, aliwataja wanaopinga shughuli hiyo muhimu kama maadui wa Wapwani.

“Kwa miaka 50 tumekuwa tukilia kama Wapwani kuwa tunanyanyaswa. Inafaa sasa tuchague viongozi ambao wataweza kututatulia masaibu yanayotukumba,” akasema.


Mbunge asema kufadhili MRC si hatia - HABARI ZA MIKOANI - swahilihub.com
 
Hapa oooh!.. duh kuna kutapatapa kwa huyu mbunge wa ODM kuhusu kufadhili vuguvugu, Je inaiweka hatima ya chama chake wapi?
 
dncoastMRC1510F.jpg


MRC leader Omar Mwamnuadzi being supported by youths at the Mombasa law courts after his on October 15, 2012. Photo | LABAN WALLOGA




dncoastMRC1510J.jpg



MRC leader Omar Mwamnuadzi is assisted by his friends inside the Mombasa law courts after his arrest on October 15, 2012. Photo|LABAN WALLOGA




dncoastMRC1510G.jpg



Some of the 38 youths arrested with MRC leader Omar Mwamnuadzi at the Mombasa law courts on October 15, 2012. Photo|LABAN WALLOGA




dncoastMRC1510C.jpg



Officers at the Mombasa law courts cell where the MRC leader Omar Mwamnuadzi and other members were held on October 15, 2012. Photo|LABAN WALLOGA

 
Ten GSU officers were on Wednesday morning injured after a grenade was hurled at them in Likoni, Mombasa, as the crackdown on gangs in the coastal town took a violent proportion.

Four of the officers have been admitted at the Aga Khan hospital in critical condition, while six are in stable condition.

The officers were on patrol and had arrested a suspect at around 3am in the Likoni area.

The suspect reportedly led the officers to a hide out where a grenade was hurled at the contingent as they attempted to make more arrests.

Two suspects were killed on the spot in the ensuing confrontation. Police are yet to establish the number of suspects who escaped during the shootout.

Among the items recovered were two grenades, one AK 47, one pistol and several rounds of ammunition.

Police have launched a manhunt for the suspects who escaped.

Meanwhile, a man was shot dead by unknown men armed with pistols in Ofafa Jericho on Wednesday morning.

Samwel Kanyoro Mwangi, 48, an export manager with Global Freight based at the Jomo Kenyatta International Airport (JKIA), had been dropped home by the company van at around 1am when he was confronted by two young men.

They shot him on the chest before escaping on foot without stealing anything from him. He died on the spot.

Nairobi PPO Moses Ombati said they had not established the motive of the killing. A 9mm spent cartridge was found at the scene of shooting.


"They never stole anything from him and we are investigating to establish the motive and also to arrest the attackers," said Mr Ombati.

http://www.nation.co.ke/News/-/1056/1535294/-/xsodh0z/-/index.html
 
dncoastMRC1510F.jpg


MRC leader Omar Mwamnuadzi being supported by youths at the Mombasa law courts after his on October 15, 2012. Photo | LABAN WALLOGA




dncoastMRC1510J.jpg



MRC leader Omar Mwamnuadzi is assisted by his friends inside the Mombasa law courts after his arrest on October 15, 2012. Photo|LABAN WALLOGA




dncoastMRC1510G.jpg



Some of the 38 youths arrested with MRC leader Omar Mwamnuadzi at the Mombasa law courts on October 15, 2012. Photo|LABAN WALLOGA




dncoastMRC1510C.jpg



Officers at the Mombasa law courts cell where the MRC leader Omar Mwamnuadzi and other members were held on October 15, 2012. Photo|LABAN WALLOGA

Waislamu fikirieni upya munapotiliana mikataba na watu wasiokuwa nyinyi.Huwa wanavuta muda tu kukukalieni juu.Hawajali mikataba kabisa na wala hawaiulizi tena hapo wakishajiimarisha dhidi yenu.Mkiweza pigananeni tu mmalizike mmoja mmoja ndipo watakaobaki wataheshimika.
Uislamu umejaa historia ya matukio ya aina hii.Akiwa muislamu mweupe ataitwa alqaida katumwa na Osama.Akiwa mdigo au mbajuni nae hatosalimika na fitna zao.Akiwa mweusi msomali ni Alshabaab.
 
Waislamu fikirieni upya munapotiliana mikataba na watu wasiokuwa nyinyi.Huwa wanavuta muda tu kukukalieni juu.Hawajali mikataba kabisa na wala hawaiulizi tena hapo wakishajiimarisha dhidi yenu.Mkiweza pigananeni tu mmalizike mmoja mmoja ndipo watakaobaki wataheshimika.
Uislamu umejaa historia ya matukio ya aina hii.Akiwa muislamu mweupe ataitwa alqaida katumwa na Osama.Akiwa mdigo au mbajuni nae hatosalimika na fitna zao.Akiwa mweusi msomali ni Alshabaab.

Wakati unaendelea kuwapatia waisilamu wenziwe joto za kurithika na ugaidi, jiulize kama MRC ndio wa kwanza. Walikuja mungiki, jeshi la mzee, mwanyimbo, kayabombo na wajua mwisho wao. uislamu udigo na ubajuni unataka kuyalinganisha. Wewe utakuwa mubulushi wewe...Haswa!
 
Wakati unaendelea kuwapatia waisilamu wenziwe joto za kurithika na ugaidi, jiulize kama MRC ndio wa kwanza. Walikuja mungiki, jeshi la mzee, mwanyimbo, kayabombo na wajua mwisho wao. uislamu udigo na ubajuni unataka kuyalinganisha. Wewe utakuwa mubulushi wewe...Haswa!

si vyema kujadiliana na gaidi hili liitwalo Ami. Cha kwanza hana chembe wala tone la fahamu kuhusu MRC kwani yeye ni mtanzania. Zaidi ya hayo, hoja zake nyingi zina taswira ya hujuma dhidi ya dhebehu la kislamu. MRC ni kundi fedhuli lenye nia ya kuvuruga amani, kama nilivyosema awali, yeyote kutoka Kenya, iwe kiongozi ama mfadhili wa nje atakaye walipia Mraja, Munwabazi ama katibu mkuu bondi ya kutoka nje pia yy yu matatani.

Stonehouse, ya "boma" tutayasuluhisha kama wakenya lakini nafsi chafu kama za Ami hazifai kujibiwa hata.

Shukran ndugu, kemea pepo za kigaidi.
 

Sheikh Dor arrested over MRC remarks

PIX1.jpg


Nominated MP Sheikh Dor at a past press conference. PHOTO /FILE


By Nation Reporter newsdesk@ke.nationmedia.com
Posted Wednesday, October 17 2012 at 12:26


Nominated MP Sheikh Mohammad Dor was on Wednesday arrested in Nairobi over remarks he made last week on alleged funding of MRC by Coast politicians.

His arrest comes days after the Police were ordered to crackdown on politicians, religious leaders and persons supporting Mombasa Republican Council (MRC) within the Coast region.

Internal Security PS Mutea Iringo said that the crackdown will continue until normalcy is restored.

He also warned that anybody responsible for heinous crimes in the Coast region will be dealt with irrespective of his position in the society. (READ:
Police in Coast begin crackdown on gangs)

Last Friday, director of the Criminal Investigation Department had indicated that security agencies are investigating politicians and businessmen in connection with the violent gangs causing mayhem in Coast Province. (READ:
Police probe tycoons linked to Coast gangs)

Mr Muhoro said detectives tracking down members of secessionist MRC were also looking for former soldiers and policemen linked to the clashes that have left more than 100 people dead in the last one month.

Mr Muhoro said the politicians and businessmen were suspected of funding the gangs, while the security officers were said to be training the militias.


Sheikh Dor arrested over MRC remarks - Politics - nation.co.ke
 
Hii east Africa yote inabidi EAC kukaa na kuamua kuthibiti hizi chokochoko njaa za hawa mahooligans kwa kuleta bill mpya ya kwamba mtu yeyote anaye perpetrate hatred ni kuua tu! bila kujali ni rangi gani, kabila gani wala ni dini gani! period!!

Unazungumza kwa mdomo au? Unajua hasa madai yao na kwa nini? Acha kukurupuka na kunadi ukatili....wewe ndiye hooligan.
 
si vyema kujadiliana na gaidi hili liitwalo Ami. Cha kwanza hana chembe wala tone la fahamu kuhusu MRC kwani yeye ni mtanzania. Zaidi ya hayo, hoja zake nyingi zina taswira ya hujuma dhidi ya dhebehu la kislamu. MRC ni kundi fedhuli lenye nia ya kuvuruga amani, kama nilivyosema awali, yeyote kutoka Kenya, iwe kiongozi ama mfadhili wa nje atakaye walipia Mraja, Munwabazi ama katibu mkuu bondi ya kutoka nje pia yy yu matatani.

Stonehouse, ya "boma" tutayasuluhisha kama wakenya lakini nafsi chafu kama za Ami hazifai kujibiwa hata.

Shukran ndugu, kemea pepo za kigaidi.


Very good thinking; very good Swahili too!
 
Unazungumza kwa mdomo au? Unajua hasa madai yao na kwa nini? Acha kukurupuka na kunadi ukatili....wewe ndiye hooligan.

Viongozi wenye akili timamu huwa wanaua tu wapumbavu wenye kuleta chokochoko ktk nchi kwa kutumia misimamo ya kidini! perion!. Whether you like this or not! ni nchi zilizokosa viongozi na zinazolealea upumbavu ndio ninahangaishwa na hawa watu waliochoka kuishi.
 
si vyema kujadiliana na gaidi hili liitwalo Ami. Cha kwanza hana chembe wala tone la fahamu kuhusu MRC kwani yeye ni mtanzania. Zaidi ya hayo, hoja zake nyingi zina taswira ya hujuma dhidi ya dhebehu la kislamu. MRC ni kundi fedhuli lenye nia ya kuvuruga amani, kama nilivyosema awali, yeyote kutoka Kenya, iwe kiongozi ama mfadhili wa nje atakaye walipia Mraja, Munwabazi ama katibu mkuu bondi ya kutoka nje pia yy yu matatani.

Stonehouse, ya "boma" tutayasuluhisha kama wakenya lakini nafsi chafu kama za Ami hazifai kujibiwa hata.

Shukran ndugu, kemea pepo za kigaidi.
Namuhunga mkono livefire kikamilifu. Wakati huu wakenya wenzangu itakuwa jambo la kawaida kukutana na ushuhuda wa kupotosha kuhusu MRC na habari nyingi za dhulma dhidi ya jamii ya waislamu kama za kina ami na wengine. Habari zitachipuka kwa wingi kuhusu kenya kushindwa kulithibiti vuguvugu la MRC. Kinyume na hizi habari za kupotosha, itakumbukwa MRC sio kundi la hivi majuzi na ni vuguvugu ilioanza shughuli za ufedhuli kutoka siku za mbunge marehemu Karisa Maitha. Hivyo, ni kundi limekuwa chini ya uangalizi mkali. Sidhani kama MRC itaikosesha kenya usingizi.

La msingi ni MRC hawana kibali ya kuendesha shughuli za ufedhuli wao ndani ya ardhi ya kenya na wakiazimia kuendeleza ugaidi, itawalazimu waende wakomboe ardhi ya Tz, Somalia, au Zanzibar. Pamoja na kukubaliwa kwa mswada wa kupinga ugaidi "anti terrorism bill" kazi ya kupambana na magaidi wanaotekeleza ugaidi na mitandao yao chini ya dini imerahisishwa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom