jamii01
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,973
- 1,398
Kuna tetesi sasa zimeanza kusikika serikali ya JK kuwekewa ngumu kupata misaada na mikopo kutoka mashirika mbalimbali ya kimataifa na wahisani kutokana na serikali yake kuteKeleza mauwaji ya Arusha na kutokuwepo kwa democracy ya kujieleza wazi na kuzima vyama upinzani kuwa na Uhuru.
Utamu zaidi hupo pale DR.slaa atapokwenda kuishitaki serikali JK kwa wahisani na Mahakama za kimataifa juu ya tukio la Arusha.
Niwazi kuwa kila chombo cha habari cha kimataifa kimweza kuriport habari ya Askari kuuwa raia.kwa hiyo hakuna mtu duniani asiyejua yale yaliyotokea Arusha..Watanzania jiandaeni kujifunga mikanda na kunywa chai bila sukari..
:tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape:
Utamu zaidi hupo pale DR.slaa atapokwenda kuishitaki serikali JK kwa wahisani na Mahakama za kimataifa juu ya tukio la Arusha.
Niwazi kuwa kila chombo cha habari cha kimataifa kimweza kuriport habari ya Askari kuuwa raia.kwa hiyo hakuna mtu duniani asiyejua yale yaliyotokea Arusha..Watanzania jiandaeni kujifunga mikanda na kunywa chai bila sukari..
:tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape::tape: