Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Wakuu habari za hapa jamvini?huu ni mtizamo wangu na ningependa niwashirikishe wakuu pia. Serikali ya JK mpaka sasa imeshaharibu mambo mengi tukianzia na hili la richmond..na kutokana na unafiki wao mpaka sasa naweza kusema kuwa kilichobaki ni kuachia madaraka manake hakuna msafi hata mmoja kuanzia mkulu hadi chini huku.Sasa je kama ukifika wakati wa kumtaka Mkulu aondoke je ataondoka????????????