Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Ndugu wanaJF
Katika kuelekea uchaguzi october 2010 nimeona hili niliweke wazi, Baba wetu wa taifa ameanza kuchafuliwa katika media mbalimbali ikiwemo jf na TAHASISI YAKE CHINI YA BUTIKU INAANDAMWA NA CCM KILA KUKICHA, inawezakana alifanya mabaya lakini kumchafua mtu ambaye ameishachukuliwa na Mungu sio haki.
Hii inaweza kuwa mbinu ya JK na sirikali yake kujitakatisha kuelekea uchaguzi.
JK baba wa Taifa kafanya mengi muache apumzike otherwise Mizimu yake itakuibukia siku za mbeleni
Ni hayo tu
WanaJF mnasemaje??
Katika kuelekea uchaguzi october 2010 nimeona hili niliweke wazi, Baba wetu wa taifa ameanza kuchafuliwa katika media mbalimbali ikiwemo jf na TAHASISI YAKE CHINI YA BUTIKU INAANDAMWA NA CCM KILA KUKICHA, inawezakana alifanya mabaya lakini kumchafua mtu ambaye ameishachukuliwa na Mungu sio haki.
Hii inaweza kuwa mbinu ya JK na sirikali yake kujitakatisha kuelekea uchaguzi.
JK baba wa Taifa kafanya mengi muache apumzike otherwise Mizimu yake itakuibukia siku za mbeleni
Ni hayo tu
WanaJF mnasemaje??