Mupirocin
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,739
- 744
Habari wandugu.
Nina ndugu yangu anafanya vitengo muhimu vya serikali kama mwanauchumi, kuna taarifa kuwa hadi sasa serikali imechukua kodi mpaka ya decemba 2011 yaani serikalu imepigika haswa
na mbaya zaidi kumbe mashirika haya haylipi exactly kodi ila wanakadiliwa tu kodi yao mfano labda nbc wanaambiwa walipe bil10, wakati mwananchi wa kawaida anadaiwa mpaka senti ya mwisho. Da serikali hii bwana imefulia kwa mbwembwe kama ilivyoingia kwa mbwembwe. najua wanajf wapo wanaofanya vtengo tofauti tupeni news
Nina ndugu yangu anafanya vitengo muhimu vya serikali kama mwanauchumi, kuna taarifa kuwa hadi sasa serikali imechukua kodi mpaka ya decemba 2011 yaani serikalu imepigika haswa
na mbaya zaidi kumbe mashirika haya haylipi exactly kodi ila wanakadiliwa tu kodi yao mfano labda nbc wanaambiwa walipe bil10, wakati mwananchi wa kawaida anadaiwa mpaka senti ya mwisho. Da serikali hii bwana imefulia kwa mbwembwe kama ilivyoingia kwa mbwembwe. najua wanajf wapo wanaofanya vtengo tofauti tupeni news