Kwa ear say kuna habari kuwa serikali hii inakopa fedha za kulipa mishahara ya wafanyakazi wake kutoka kwa wafanyabiashara kama akina Bakhresa,manji nk,
mf mishahara ya mwezi jana imekopwa kwa bakhresa,
kuna ukweli?
Thibitisha ear say yako, vinginevyo ni uzushi.
"kumchagua kikwete tena ..litakuwa janga la kitaifa" Dk W. Slaa
Acha kukurupuka wewe umeshaona kuwa ni ear say halafu unakimbilia kudai ushahidi mbona kama hazikutoshi,
nyie ndio mnaua hili taifa kwa wizi na umbumbu wenu mkituhumiwa mnakimbilia kuomba ushahidi wakati mnajua namna mlivyopanga hila zenu kupoteza ukweli,
shame up you!!
Hili ni janga kubwa ajabu"kumchagua kikwete tena ..litakuwa janga la kitaifa" Dk W. Slaa
Thibitisha ear say yako, vinginevyo ni uzushi.
Du hatari kama ni kweli! TRA hawakusanyi kodi kwani au matumizi ni makubwa kuliko income?