Serikali Ya Jamhuri ya Muungano ianze na mchakato kuanza kuchimba Madini yenyewekupitia (JWTZ)

jamaliprint

Member
Feb 28, 2015
33
31
Ni muda sasa secta ya madini inazidi kuonekana kana kwamba aina mchango wa kuinua uchumi wa Tanzania ,kuna aina mbali mbali ya Madini kama Dhahabu,Tanzanite,almas,GreenGarnet,change colour,Blue Sappihier na mengine naomba serikali iache Policy haba ianze na sera mpya iifanye kushika Maeneo muhimu hasa mkoa wa Geita,Kahama na North Mara lipeni Jeshi kusimamia kazi hii hata kama masuala ya vifaa ni ghali anzeni locally kama kuna wachimbaji wadogo wanachimba nguvu kubwa ya labour serikali ikitumia nadhan itakua ni njia sahii ya kujiinua kuliko kusubiri Majiz wawekezaji ambao serikali inaambulia asilimia ndogo ya kodi,why nimesema Jeshi kwanza suala ya chakula kwa wafanyakazi kitatoka JKT ,vifaa na dhana kama karasha,futa,vibati vya kuripua serikali iangize pasipo lipa kodi afu ijenge waajiriwa apa ni aporos watu wasio na elimu kubwa Non skilled labour ,Process ya uchimbaji ni ndefu sana kuielezea apa ila kuna vyuo vya madini apa kwetu vijana wengi hawana ajira then toboeni iyo aridh chini kwa chini muone makorongo wezenu wanavyoiba na kusema bado wanafanya tafiti na Jeshi hili ndio liwe linakagua na kua na amri juu ya viawanja vya ndege vtote vilivyo karibu na migodi hii kukagua na kutambua kila kinachoingia na kutoka ,apa itasaidia kuongeza pato la kigeni kwani mkichimba mtauza ninyi weneyewe kwa masoko mbalimvali duniani kulingana na Bei inawapa faida.hawa vibarua wao ni posho za sigara ila mtaeka mkataba wakti mzgo ukitoka serikali inanua kwao kwa bei affadoble then inaenda uza au mkataba wa asilimia kila mmoja wakti mzgo umepatiKana,,,nitaruudi badae!
 
ilikuwepo meremeta na buhemba.

pia uchimbaji ni teknolojia,sio nguvu.

jeshi libaki na kazi yake ya asili, hata kwenye siasa lisiingie,fikiria unamuweka meja jenerali kwenye siasa, huwezi kumtoa kumtoa kwa mikiki jukwaani kama mzee kabwe,utabaki unaishi kwa hofu
 
Halafu nani atakusanya kodi?, hayo ni mambo yanayofanyika sehemu zenye migogoro
 
HIVI UNAFAHAMU HUKU MAJESHINI NDIO KUMEOZA KWA RUSHWA?
NA TUKIROGWA TU KUFANYA HIVYO HAKO KA DEMOKRASIA KIDUCHU KILOCHOPO NDIO KINAFIKIA TAMATI, SOMA MIFANO YA NCHI KAMA MISRI AMBAZO JESHI LINA UCHUMI UNAOSHINDANA NA DOLA! WANA MASILAHA UKISHAWAPA UWEZO HUO WA KIUCHUMI TU WAJOMBA WALIVYOWABINAFSI WATATAKA NA KUTAWALA NA HAKUNA ATAKAEWEZA KUWAZUIA.
MAMBO HAYO TUWAACHIE WATU WA DUNIA YA KWANZA AMBAKO HIVI VITENGO NA MIFUMO ILISHAPANGWA NA KUKUBALIKA.
 
Ni muda sasa secta ya madini inazidi kuonekana kana kwamba aina mchango wa kuinua uchumi wa Tanzania ,kuna aina mbali mbali ya Madini kama Dhahabu,Tanzanite,almas,GreenGarnet,change colour,Blue Sappihier na mengine naomba serikali iache Policy haba ianze na sera mpya iifanye kushika Maeneo muhimu hasa mkoa wa Geita,Kahama na North Mara lipeni Jeshi kusimamia kazi hii hata kama masuala ya vifaa ni ghali anzeni locally kama kuna wachimbaji wadogo wanachimba nguvu kubwa ya labour serikali ikitumia nadhan itakua ni njia sahii ya kujiinua kuliko kusubiri Majiz wawekezaji ambao serikali inaambulia asilimia ndogo ya kodi,why nimesema Jeshi kwanza suala ya chakula kwa wafanyakazi kitatoka JKT ,vifaa na dhana kama karasha,futa,vibati vya kuripua serikali iangize pasipo lipa kodi afu ijenge waajiriwa apa ni aporos watu wasio na elimu kubwa Non skilled labour ,Process ya uchimbaji ni ndefu sana kuielezea apa ila kuna vyuo vya madini apa kwetu vijana wengi hawana ajira then toboeni iyo aridh chini kwa chini muone makorongo wezenu wanavyoiba na kusema bado wanafanya tafiti na Jeshi hili ndio liwe linakagua na kua na amri juu ya viawanja vya ndege vtote vilivyo karibu na migodi hii kukagua na kutambua kila kinachoingia na kutoka ,apa itasaidia kuongeza pato la kigeni kwani mkichimba mtauza ninyi weneyewe kwa masoko mbalimvali duniani kulingana na Bei inawapa faida.hawa vibarua wao ni posho za sigara ila mtaeka mkataba wakti mzgo ukitoka serikali inanua kwao kwa bei affadoble then inaenda uza au mkataba wa asilimia kila mmoja wakti mzgo umepatiKana,,,nitaruudi badae!
Naunga mkono hoja
 
Ni muda sasa secta ya madini inazidi kuonekana kana kwamba aina mchango wa kuinua uchumi wa Tanzania ,kuna aina mbali mbali ya Madini kama Dhahabu,Tanzanite,almas,GreenGarnet,change colour,Blue Sappihier na mengine naomba serikali iache Policy haba ianze na sera mpya iifanye kushika Maeneo muhimu hasa mkoa wa Geita,Kahama na North Mara lipeni Jeshi kusimamia kazi hii hata kama masuala ya vifaa ni ghali anzeni locally kama kuna wachimbaji wadogo wanachimba nguvu kubwa ya labour serikali ikitumia nadhan itakua ni njia sahii ya kujiinua kuliko kusubiri Majiz wawekezaji ambao serikali inaambulia asilimia ndogo ya kodi,why nimesema Jeshi kwanza suala ya chakula kwa wafanyakazi kitatoka JKT ,vifaa na dhana kama karasha,futa,vibati vya kuripua serikali iangize pasipo lipa kodi afu ijenge waajiriwa apa ni aporos watu wasio na elimu kubwa Non skilled labour ,Process ya uchimbaji ni ndefu sana kuielezea apa ila kuna vyuo vya madini apa kwetu vijana wengi hawana ajira then toboeni iyo aridh chini kwa chini muone makorongo wezenu wanavyoiba na kusema bado wanafanya tafiti na Jeshi hili ndio liwe linakagua na kua na amri juu ya viawanja vya ndege vtote vilivyo karibu na migodi hii kukagua na kutambua kila kinachoingia na kutoka ,apa itasaidia kuongeza pato la kigeni kwani mkichimba mtauza ninyi weneyewe kwa masoko mbalimvali duniani kulingana na Bei inawapa faida.hawa vibarua wao ni posho za sigara ila mtaeka mkataba wakti mzgo ukitoka serikali inanua kwao kwa bei affadoble then inaenda uza au mkataba wa asilimia kila mmoja wakti mzgo umepatiKana,,,nitaruudi badae!
Kuchimba madini si mitulinga, ni very complex technology of which we do not have
 
HIVI UNAFAHAMU HUKU MAJESHINI NDIO KUMEOZA KWA RUSHWA?
NA TUKIROGWA TU KUFANYA HIVYO HAKO KA DEMOKRASIA KIDUCHU KILOCHOPO NDIO KINAFIKIA TAMATI, SOMA MIFANO YA NCHI KAMA MISRI AMBAZO JESHI LINA UCHUMI UNAOSHINDANA NA DOLA! WANA MASILAHA UKISHAWAPA UWEZO HUO WA KIUCHUMI TU WAJOMBA WALIVYOWABINAFSI WATATAKA NA KUTAWALA NA HAKUNA ATAKAEWEZA KUWAZUIA.
MAMBO HAYO TUWAACHIE WATU WA DUNIA YA KWANZA AMBAKO HIVI VITENGO NA MIFUMO ILISHAPANGWA NA KUKUBALIKA.
haswaaa!!! uko sahihi.

hata kuwatoa kwenye siasa,it was a good move,sasa naona huyu kawarudisha,bt its very bad
 
Kunahitaji technology,
russia inaongoza kwa utajiri wa maliasiri,yanathamani ya dollar trlion 7,ishu iko kwenye kuyaexploit
 
Meremeta ilisimamiwa Na wala rushwa kuanzia no 1 mwenyewe ndo maana walishindwa.
 
Ni sawa Na kujiuliza kwa nini TRA Na TPA walishindwa kusimamia ukusanyaji mapato bandarin awamu zilizopita Na sasa wamewezaje? Usimamizi usimamizi usimamizi...
 
Nafikiri mnakumbuka kilichotokea Meremeta na Buhemba... hivi vitu vinahitaji kujengwa na si maneno na ujuaji wa watanzania.. Misingi imara na watu kuandaliwa kuanzia kisaikolojia na kiakili. Tanzania chini ya CCM hakuna siku itafanikiwa..
 
Ndege zimewashinda, mnataka tena na madini,

Hii sector haihitaji siasa, inataka pesa na technology sio nguvu.

Kabla hatujaenda mbali,

Tungeanza na mchanga wa dhahabu unaoenda nje.
 
Ni muda sasa secta ya madini inazidi kuonekana kana kwamba aina mchango wa kuinua uchumi wa Tanzania ,kuna aina mbali mbali ya Madini kama Dhahabu,Tanzanite,almas,GreenGarnet,change colour,Blue Sappihier na mengine naomba serikali iache Policy haba ianze na sera mpya iifanye kushika Maeneo muhimu hasa mkoa wa Geita,Kahama na North Mara lipeni Jeshi kusimamia kazi hii hata kama masuala ya vifaa ni ghali anzeni locally kama kuna wachimbaji wadogo wanachimba nguvu kubwa ya labour serikali ikitumia nadhan itakua ni njia sahii ya kujiinua kuliko kusubiri Majiz wawekezaji ambao serikali inaambulia asilimia ndogo ya kodi,why nimesema Jeshi kwanza suala ya chakula kwa wafanyakazi kitatoka JKT ,vifaa na dhana kama karasha,futa,vibati vya kuripua serikali iangize pasipo lipa kodi afu ijenge waajiriwa apa ni aporos watu wasio na elimu kubwa Non skilled labour ,Process ya uchimbaji ni ndefu sana kuielezea apa ila kuna vyuo vya madini apa kwetu vijana wengi hawana ajira then toboeni iyo aridh chini kwa chini muone makorongo wezenu wanavyoiba na kusema bado wanafanya tafiti na Jeshi hili ndio liwe linakagua na kua na amri juu ya viawanja vya ndege vtote vilivyo karibu na migodi hii kukagua na kutambua kila kinachoingia na kutoka ,apa itasaidia kuongeza pato la kigeni kwani mkichimba mtauza ninyi weneyewe kwa masoko mbalimvali duniani kulingana na Bei inawapa faida.hawa vibarua wao ni posho za sigara ila mtaeka mkataba wakti mzgo ukitoka serikali inanua kwao kwa bei affadoble then inaenda uza au mkataba wa asilimia kila mmoja wakti mzgo umepatiKana,,,nitaruudi badae!
Mkuu unapafahamu KIVU? Kama hupafahamu nenda kagide viroba akili yako itatulia ndo ulete upya Uzi humu!!!!!
 
Watanzania tunafurahisha-hati kazi moja ya jeshi letu iwe kuchimba madini na tuko 2016. Mola tusaidie.
 
Back
Top Bottom