Camp Gilgal
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,452
- 4,575
Lowasa aliahidi kuboresha maisha mpaka watu wataweza kuongeza wake.JPM fanya mambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lowasa aliahidi kuboresha maisha mpaka watu wataweza kuongeza wake.JPM fanya mambo
Hapana,mimi ni one man type of....Basi labda tuiweke hivi wanawake wawili mpewe ruhusa ya kuoa mume mmoja!!! Unaonaje hapo !? Imepungua makali kidogo.
Hiyo sasa Roho mbaya Nifah! Wewe kila siku ukiambiwa ule magimbi na juice ya viazi asubuhi...mchana na jioni utawezaHapana,mimi ni one man type of....
Sipendi sharing ktk mapenzi.
Kwahili tu mimi ni selfish vibaya sana.
Wachaaa wewe, Ni majike mawili kwa dume moja, sio madume mawili kwa jike mojaWewe uko radhi kushare mkeo na kidume kingine?
Mimi siwezi kabisaaaa
Ila hilo tatizo laweza kua la kweli.. Hao mnaokutana nao Ni kuwa Wa nashindwa kusimamisa? Au wanashindwa kukojoa goli 3+ au wakoje!?Hahhahaha lol,mm nahs hapa kwetu waruhusiwe hata watatu watatu
Nifah umenchekesha kwel
Tatzo lao wanapenda sana chpsy ndo maana kitandan zero
utapoteguka nyonga ndio utaisoma namba...............utaringia bed restOyoooooii
Ije tu Tz matoz tuchukue mijimama..turinge town
Ht ivo pia ni kuringa !!!!utapoteguka nyonga ndio utaisoma namba...............utaringia bed rest
upone? / kweli Hali ni mbaya sana!AISEE NA HUKU WAFANYE HIVYO WENGINE TUPONE
HAHAHAHAupone? / kweli Hali ni mbaya sana!
Huko nchini Eritrea, serikali imetoa tangazo kuwa, LAZIMA KILA MWANAUME, AOE MKE WA PILI. Hali hii imejitokeza baada ya kuwa na upungufu wa wanaume, kulikosababishwa na wengi kufia vitani wakati wa vita kati ya nchi hiyo na Ethiopia!
Serikali imetoa tangazo kwa Lugha ya Kiarabu, na kwa mujibu wa Tangazo hilo mwanaume atakayepuuzia agizo hilo, "atahukumiwa kwenda jela, pamoja na kazi ngumu".
Na mwanamke atakaye fanya juhudi zozote kumzuia mwanaume wake asioe bibi wa pili, adhabu yake ni "kifungo cha maisha gerezani", ili akose mume kabisa, ajue uchungu wa mwanamke mwenzie kuishi bila mwanaume.
Habari hii imekuwa , habari njema nchini Kenya, baada ya Wakenya kuanza kuomba Visa za kuingia nchini Eritrea na kuanza taratibu za kubadili urai, ili waweze kuoa wake wawili, baada ya kule Rombo watu kuanza kuchangamkia wake zao vilivyo, fursa zimehamia Eritrea.
Je, hapa Tanzania kuna haja, ya serikali pia kutangaza au kutoa agizo kama hilo..? Uhaba wa wanaume upo, japo chanzo kikuu hapa kwetu ni upungufu wa nguvu za kiume, pamoja na uoga wa maisha plus majukumu.
Huchepuki weweWewe uko radhi kushare mkeo na kidume kingine?
Mimi siwezi kabisaaaa
AISEE NA HUKU WAFANYE HIVYO WENGINE TUPONE