kutokana na kusuka upya baraza la mawaziri na ujio wa mawaziri kama Prof Muhongo,Dr Mgimwa,Dr Mwakyembe na uwepo wa Dr Pombe Magufuli waziri toka awamu ya tatu,hakika sasa serikali ya jk imejipanga kuwatumikia wananchi masikini na hivyo kujipanga vema kwa uchaguzi mkuu wa 2015,TUNAOMBA Mh rais uwaache wafanye majukumu yao kwa kujinafasi na kwa uhuru mkubwa,