Vunjavunja
Member
- May 18, 2012
- 92
- 11
CCM yazidi kupoteza imani kupitia kwa wasomi wa vyuo, itambulike kuwa chuo kikuu cha UDOM kina wanafunzi wa kila pande ya nchi wapo wa Mtwara(kusini), Kigoma (magharibi), Kagera (kasikazini magharibi), Arusha (kasikazini), Dar-es-salaam (mashariki) na mikoa mingine yote ya Tanzania bara na Zanzibar, ni kilio ambacho watakikumbuka miaka ijayo. Kitu ambacho wanatufanyia wanafunzi wa UDOM kutucheleweshea mkopo wetu ni njia mwafaka ya kwenda tunatangaza sera mbaya kwa serikali ya Tanzania (CCM), Kiukweli ccm ndo mwisho wa utawala wao maana tumejipanga kwenda kueneza cdm katika kata zote hapa nchini wasidhana kuwa wanatunyanyasa sisi ila wajue wanatengeneza bom ambalo litawalipua mda wowote yangu ni hayo wa jf ni kweli tumechoka hali ya wanafunzi ni mbaya pale wazazi wa wanafunzi wa Udom litambueni ndo serikali yetu inayotufanyia haya ikiwa wachache wanajilimbikizia mali ya umma wengi wanakufa na njaa. Mungu ibariki udom.