Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 831
- 184
Hivi Serikali ya Ccm inatumia kichwa kufikiri kweli?mimi ninawasiwasi kwani iweje watumie pesa nyingi za walipa kodi kujenga ofisi ya Spika wa Bunge Urambo.Je spika wa sasa anatumiaje Ofisi iliyoto Urambo.Nadhani Tanzania ikipata Rais na Serikali makini Sitta Samwel anatakiwa afunguliwe mashtaka.