KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Mimi na amini kabisa matatizo ya kiuchumi tuliyonayo watanzania ya mesababishwa na serikali ya awamu ya tatu iliyo ongozwa na Rais mstaafu B.W Mkapa.
Kwakushindwa kuweka misingi thabiti yakuendeleza alichokuwa amekianzisha matokeo yake Awamu ya nne yenyewe imeingia madarakani bila kuwa na mipango thabiti yakuendesha nchi! Mahitaji mhuimu yamekuwa mwiba kwamwananchi!
Kwakushindwa kuweka misingi thabiti yakuendeleza alichokuwa amekianzisha matokeo yake Awamu ya nne yenyewe imeingia madarakani bila kuwa na mipango thabiti yakuendesha nchi! Mahitaji mhuimu yamekuwa mwiba kwamwananchi!