Hapa tusiwatetee upinzani. Hata upinzani, mfano CHADEMA, hawajawahi kutangaza openly and forthrightly kwamba hawataki Muungano. Na kwa Zanzibar, wa kina Muhamed Rashid wa CUF nao sijawasikia kutangaza hawataki Muungano. Wanafaidika nao binafsi.... tena ni wa CCM kwa maslahi yao kwani ndio wanaofaidi.
Kwa hiyo, sio CCM peke yake wanaong'ang'ania Muungano.