Serikali nilazima wakaechini kutatua matatizo na waislam na kuyaweka hadharani, ili wananchi waelewe ninani msanii anae hatarisha maisha kwa wa-Tanzania
Wote tunajuwa kuwa kuna tatizo, kwa hiyo suluhisho sio kutumia Wajeshi, nguvu au slaa, tujifundishe toka nchi zilizoendelea zenye technologia za ulinzi na slaa za kisasa, lakini slaa zao hizo hazikuweza kuwasaidia na kuwaletea amani
Naamini kabisa waislam hawana shortage of fighters, wakitangaza jihadi watapata support ya hali na mali, ilitusifikie huko lazima serikali iache kiburi, iwasikilize, na wananchi tuelewe madai na majibu yao, kama waislam hoja zao hazishikiki, basi tuwapinge wote au kama serikali inaendeleza usanii, tuwatoe madarakani, lakini hatuwezi endelea namna hii.
Kunauwezano mkumbwa waislam wa Tanzania wakaamua kutumia slaa kali za mabomu ya kisasa ambayo yanaweza patikana kirahisi na kujifunzia kupitia Mtandao, watakapo kuwa na uwezo huo, madhara yake yatakuwa makubwa na haitokuwa rahisi tena kuishi watanzania kama tunavyo ishi sasa.
Wote tunajuwa kuwa kuna tatizo, kwa hiyo suluhisho sio kutumia Wajeshi, nguvu au slaa, tujifundishe toka nchi zilizoendelea zenye technologia za ulinzi na slaa za kisasa, lakini slaa zao hizo hazikuweza kuwasaidia na kuwaletea amani
Naamini kabisa waislam hawana shortage of fighters, wakitangaza jihadi watapata support ya hali na mali, ilitusifikie huko lazima serikali iache kiburi, iwasikilize, na wananchi tuelewe madai na majibu yao, kama waislam hoja zao hazishikiki, basi tuwapinge wote au kama serikali inaendeleza usanii, tuwatoe madarakani, lakini hatuwezi endelea namna hii.
Kunauwezano mkumbwa waislam wa Tanzania wakaamua kutumia slaa kali za mabomu ya kisasa ambayo yanaweza patikana kirahisi na kujifunzia kupitia Mtandao, watakapo kuwa na uwezo huo, madhara yake yatakuwa makubwa na haitokuwa rahisi tena kuishi watanzania kama tunavyo ishi sasa.