Serikali: Vigogo waligawiwa viwanja Gezaulole kwasababu wana uwezo wa kujenga

Serikali imesema Bungeni leo kwamba mojawapo ya vigezo vilivyotumika kuwagawia vigogo viwanja vya eneo la Gezaulole lililopo Kigamboni ni pamoja na uwezo wa waombaji kuendeleza eneo husika.

Waziri mhusika amesema kwamba Manispaa ya Temeke ilipokea maombi 16,000 lakini viwanja vilivyokuwepo ni 1,800 tu.

Ameendelea kusema kwamba vigogo nao ni wananchi na wana haki ya kumilikishwa ardhi
ubepari hauna adabu.
Amekuwa mkweli na muwazi sana na ndivyo CCMABWEPANDE walivyo very good
 
Kwa mfumo huu hatutafika mahali mimi kwanza nasema zoezi zima ni batili pesa ya walionunua fomu na kukosa viwanja zirejeshwe kwa wenyewe kwani ni utapeli uleule unaofanywa na shule ambazo zinafahamu kuwa zina nafasi chache lakini zinaendelea kugawa fomu za registration
Pili Eneo la Kigamboni waliostahili kupewa priority ni wakazi wa huko huko kutokana na baadhi yao watakaobomolewa kwa ajili ya kupisha ujenzi wa miundo mbinu kama barabara n.k watakwenda wapi?
Tatu Hao ardhi wachunguzwe kwani maeneo mengi wanagawiana kwa kuuziana bei poa sisi tunafahamu sana suala hili, na mwisho hao vigogo kwanini wawe wana viwanja vingi vingi katika maeneo mbalimbali.
 
Ni kweli vigogo ni wananchi ila hawana haki ya kumilki kila prime land kila mahali. Waziri ameshindwa kujibu hoja kwa vile sera yake na chama chake ni kulindana na usanii. Kwanini vigogo wengi kati ya viwanja vichache vilivyopo wakati walishauziana nyumba za umma? Shame on you!
 
watu wanaomba viwanja si kwa sababu ya kuje
nga.ni securities.watu hawakopesheki afu wanaongea pumba hizi.
Tumefika hapa kwa ajili ya udhaifu wa ..........................,uzembe wa ....................,na upuuzii wa ccm.
 
wananchi sasa tuache upole,hivi hili tamko ni nani linamwingia akilini?tumefanywa mandondocha na serikali tuliyoichagua tunayoilipa kodi?yani masikini tunasulubiwa kiasi hiki halafu tunakaa kimya
 
Back
Top Bottom