BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Baada ya kupata matatizo ya ndege
ni wakati muafaka sas serikali kutamka wameandaaaje kuisaidia atcl kupata ndege nyingine
ni ukweli halisi sasa atcl aina ndege tena na ni wakati muafaka wa serikali kusema wameaandaaje
na nini kifanyike kuikoa atcl ..akuna asieamini hili kwamba hata kama itakaa bila ndege mwaka mmoja
atcl itabaki kuwa national carrier.aijalisha una ndege nyingi kiasi gani swala ni jinsi gani tutaisadia
national carrier ku fly all over the world,
wengi watasema tuache atcl ifie mbali ,lakini naomba niwe mkweli ni wakati muafaka sasa kuisaidia kampuni hii tusiangalie tumetoka wapi tuangalioe tunaenda wapi hili ndilo jambo muhimu
ni wakati muafaka sas serikali kutamka wameandaaaje kuisaidia atcl kupata ndege nyingine
ni ukweli halisi sasa atcl aina ndege tena na ni wakati muafaka wa serikali kusema wameaandaaje
na nini kifanyike kuikoa atcl ..akuna asieamini hili kwamba hata kama itakaa bila ndege mwaka mmoja
atcl itabaki kuwa national carrier.aijalisha una ndege nyingi kiasi gani swala ni jinsi gani tutaisadia
national carrier ku fly all over the world,
wengi watasema tuache atcl ifie mbali ,lakini naomba niwe mkweli ni wakati muafaka sasa kuisaidia kampuni hii tusiangalie tumetoka wapi tuangalioe tunaenda wapi hili ndilo jambo muhimu