Sakata hili la mafuta limenitia shaka kwa utendaji wa serikali hasa kwa waziri mwenya mwenye dhamana.
Tuna mifano hai ya mawaziri wawili wa zamani akiwapo Augustine Mrema na E. Lowassa katika utendaji wao. Mrema kutoa siku kwa majambazi kurudisha silaha na kufanya hivyo, Lowassa kwenye wizara ardhi na kwingineko, leo hii sakata la mafuta waziri muhusika hadi awe boosted na bunge na pamoja majibu hayo hayaonyeshi quick solution wakati watanzania wanateseka kwa huduma hiyo na wala hawapewi bure ni fedha zao.
Je, ni kweli serikali ni kweli serikali ina kigugumizi au inaogopa wafanyabiashara? Kwa serikali ya CCM, ingekuwa ni uchaguzi leo ningempatia Lowassa ndiye mwenye uthubutu.
Wana JF, nawakilisha
Tuna mifano hai ya mawaziri wawili wa zamani akiwapo Augustine Mrema na E. Lowassa katika utendaji wao. Mrema kutoa siku kwa majambazi kurudisha silaha na kufanya hivyo, Lowassa kwenye wizara ardhi na kwingineko, leo hii sakata la mafuta waziri muhusika hadi awe boosted na bunge na pamoja majibu hayo hayaonyeshi quick solution wakati watanzania wanateseka kwa huduma hiyo na wala hawapewi bure ni fedha zao.
Je, ni kweli serikali ni kweli serikali ina kigugumizi au inaogopa wafanyabiashara? Kwa serikali ya CCM, ingekuwa ni uchaguzi leo ningempatia Lowassa ndiye mwenye uthubutu.
Wana JF, nawakilisha