mwananyiha
JF-Expert Member
- Mar 11, 2008
- 248
- 43
Kufuatia tamko la CUF dhidi ya serikali kwamba hata kama bwawa litakuwa limefurika bado kutakuwa na mgawo wa umeme. Serikali/TANESCO inatakiwa waoneshe kuwa maneno hayo ni uongo kwa kutoendeleza mgawo, vinginevyo itathibitika bila mashaka yoyote kwamba serikali ni waongo na tusitegemee kuwaamini kwa lolote.