Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
kila serikali au makampuni duniani kuanzia marekani mpaka china...kunakuaga na vyanzo vya habari vya ndani hilo ni kitu cha kawaida...sasa sijui mnachoshangaa ni nini...america na intelligence yake yote ile lakini bado habari kutoka CIA FBI na WHITE HOUSE zinavuja...ndio itakuja kua TIGO/USALAMA MBOVU WA TAIFA?
Waambie Mkuu, wakamuulize Weakleaks!!! Na ile suti alibambua pia. Juzi Jumamosi/Jumapili Website ya Wizara ya Afya ilikuwa hacked. Hao ndo akina nanai walifanya? Wameshachukua info zote muhimu sembuse tiGo. Leo hii nikitaka tu kufahamu hawara wa mke/mume just send 1,000 mpesa or Tigo Pesa japo inawezekana watu kusajili magumashi but your get it real at 80% though!!! Sasa shida iko wapi? Eti Simu, hopeless kabisa.