Mhariri wa Gazeti la Habari Leo Umepata aibu ya Mwaka, Unatakiwa wewe mwenyewe Ujiuzulu au SERIKALI ikuondoe hapo ulipo.
Ulishabikia sana Kanisa Katoliki pale ambapo lilipoonyesha Msimamo wake wa KUTOFURAHISHWA na baadhi ya wagombea uongozi wa CCM walipotumia vibaya IMANI YA KIKRISTO au MANENO MATAKATIFU na MSINGI WA IMANI ya KIKRISTO.
CCM wenzako wameomba msamaha leo hii, Wewe ni mtu gani?, Nazani wewe si PROFESSIONAL wa taaluma yako, na nazani Hustahili hata kusikilizwa kwenye jamii yako na ya Watanzania pia.
Hufai, BORA RESIGN TU.
SERIKALI Onyesha Uadilifu wako.
Ulishabikia sana Kanisa Katoliki pale ambapo lilipoonyesha Msimamo wake wa KUTOFURAHISHWA na baadhi ya wagombea uongozi wa CCM walipotumia vibaya IMANI YA KIKRISTO au MANENO MATAKATIFU na MSINGI WA IMANI ya KIKRISTO.
CCM wenzako wameomba msamaha leo hii, Wewe ni mtu gani?, Nazani wewe si PROFESSIONAL wa taaluma yako, na nazani Hustahili hata kusikilizwa kwenye jamii yako na ya Watanzania pia.
Hufai, BORA RESIGN TU.
SERIKALI Onyesha Uadilifu wako.