Serikali ni ya nini basi?

Ninawapata vizuri kabisa, lakini unaihukumu vipi kuwa serikali fulani ni bora au siyo bora kama majukumu ya serikali ni yale yale bila kujali itikadi ya vyama vyake vya kisiasa au wanaoiongoza?

Serikali ya China kwa upande mmoja na serikali ya Marekani kwa upande mwingine ni serikali mbili ambazo zinatazama mambo kwa namna tofauti sana kuanzia suala la vyama vya kisiasa, uhuru wa maoni, uhuru wa kuabudu, kusimamia mafaa ya watu, suala la usawa, haki n.k. Je serikali zote mbili hizi ziko sawa?

Mzee MKJJ unatafuta article ya kuandika jumatano ijayo nini :)?
 
Mzee MKJJ unatafuta article ya kuandika jumatano ijayo nini :)?

Hapana (ingawa sifuti kabisa uwezekano wa kufanya hivyo baadaye). Hata hivyo kwangu niko interested zaidi na falsafa nzima na nadharia ya seriikali:

a. Serikali ni nini?
b. Serikali ina umuhimu gani katika maendeleo ya mtu mmoja mmoja na jamii nzima?
c. Serikali bora inatambulikanaje?
d. Je ni lazima kuwa na serikali ya kidemokrasia ili tuwe na maendeleo?
e. Je vyama vya siasa ni muhimu katika ufanisi wa utendaji kazi wa serikali?
f. Je serikali inaweza kuondolewa kwa nguvu na ni sababu gani zinaweza kuruhusu hiilo kutokea?
g. Je serikali ili kuhakikisha inaendellea kuwepo inayo haki ya kutumia nguvu kuzima jaribio lolote la kuiondoa?
h. Je mfumo wa kutumia kura ndio mfumo mzuri zaidi wa kubadilisha serikali?
i. Je Chama cha kisiasa chaweza kuanzisha ambacho hakina lengo la kushika serikali? yaani kiwe na lengo la kuwa mpinzani tu?

KIMSINGI, serikali ni yanini basi?

et cetera....
 
Que.Kati ya mtu masikini na mtu tajiri ni nani anaihitaji serikali zaidi?

Ans.Government is of the people, by the people, and for the people (rich or poor)

Que.Nani anafaidika zaidi na uwepo wa serikali, maskini au tajiri?

Ans.wote...wanafaidika sawa......

Mhh! Sikujua kama na humu JF namo-mna 'Friendly Firing',nilithani ni kule Afghanistan,basra tu.....
 
Ninawapata vizuri kabisa, lakini unaihukumu vipi kuwa serikali fulani ni bora au siyo bora kama majukumu ya serikali ni yale yale bila kujali itikadi ya vyama vyake vya kisiasa au wanaoiongoza?

Serikali ya China kwa upande mmoja na serikali ya Marekani kwa upande mwingine ni serikali mbili ambazo zinatazama mambo kwa namna tofauti sana kuanzia suala la vyama vya kisiasa, uhuru wa maoni, uhuru wa kuabudu, kusimamia mafaa ya watu, suala la usawa, haki n.k. Je serikali zote mbili hizi ziko sawa?[/QUOTE]


Duu hii kali
Mbona majibu unayo uncle. Sema kama majibu uliyopanga kichwani kwako siyo unayopewa na wadau hapa?..coz if that's the case hiyo column yako itabidi uiandike upya...sorry
 
Ninawapata vizuri kabisa, lakini unaihukumu vipi kuwa serikali fulani ni bora au siyo bora kama majukumu ya serikali ni yale yale bila kujali itikadi ya vyama vyake vya kisiasa au wanaoiongoza?

Serikali ya China kwa upande mmoja na serikali ya Marekani kwa upande mwingine ni serikali mbili ambazo zinatazama mambo kwa namna tofauti sana kuanzia suala la vyama vya kisiasa, uhuru wa maoni, uhuru wa kuabudu, kusimamia mafaa ya watu, suala la usawa, haki n.k. Je serikali zote mbili hizi ziko sawa?[/QUOTE]


Duu hii kali
Mbona majibu unayo uncle. Sema kama majibu uliyopanga kichwani kwako siyo unayopewa na wadau hapa?..coz if that's the case hiyo column yako itabidi uiandike upya...sorry

Hakuna cha makala, ninachojaribu kuangalia ni dhana nzima ya serikali. Siyo kila kitu kina mtego ndani yake.

Je ni lazima serikali iongozwe na chama cha kisiasa? Ni lazima kuwa na serikali kuu au kuwa na serikali ndogondogo za mahali (local governments) ambazo zina nguvu na uwezo wa kufanya mambo mengi kuliko kuwa na serikali kubwa yenye mamlaka mengi zaidi?
 
Ukiona au kusikia yanayoendelea Somalia, Iraq, Afghanistan, China, USA, Libya, Tanzania, Zimbabwe, DRC,....utapata tafsiri na maana nyingi za SERIKALI. Utaona pia nani wanafaidika na uwepo/kutokuwepo kwa serikali.
 
Hapana (ingawa sifuti kabisa uwezekano wa kufanya hivyo baadaye). Hata hivyo kwangu niko interested zaidi na falsafa nzima na nadharia ya seriikali:

a. Serikali ni nini?
b. Serikali ina umuhimu gani katika maendeleo ya mtu mmoja mmoja na jamii nzima?
c. Serikali bora inatambulikanaje?
d. Je ni lazima kuwa na serikali ya kidemokrasia ili tuwe na maendeleo?
e. Je vyama vya siasa ni muhimu katika ufanisi wa utendaji kazi wa serikali?
f. Je serikali inaweza kuondolewa kwa nguvu na ni sababu gani zinaweza kuruhusu hiilo kutokea?
g. Je serikali ili kuhakikisha inaendellea kuwepo inayo haki ya kutumia nguvu kuzima jaribio lolote la kuiondoa?
h. Je mfumo wa kutumia kura ndio mfumo mzuri zaidi wa kubadilisha serikali?
i. Je Chama cha kisiasa chaweza kuanzisha ambacho hakina lengo la kushika serikali? yaani kiwe na lengo la kuwa mpinzani tu?

KIMSINGI, serikali ni yanini basi?

et cetera....


ni maswali ambayo hakuna mtu mwenye kuweza kuchambua moja baada ya jingine...?
 
Back
Top Bottom