Ninawapata vizuri kabisa, lakini unaihukumu vipi kuwa serikali fulani ni bora au siyo bora kama majukumu ya serikali ni yale yale bila kujali itikadi ya vyama vyake vya kisiasa au wanaoiongoza?
Serikali ya China kwa upande mmoja na serikali ya Marekani kwa upande mwingine ni serikali mbili ambazo zinatazama mambo kwa namna tofauti sana kuanzia suala la vyama vya kisiasa, uhuru wa maoni, uhuru wa kuabudu, kusimamia mafaa ya watu, suala la usawa, haki n.k. Je serikali zote mbili hizi ziko sawa?
Mzee MKJJ unatafuta article ya kuandika jumatano ijayo nini ?