wanapopunguza idadi ya kura za wapinzani huwa nawaelewa wana maana gani, lakini kama watu 60 wanakufa na wao wanatangaza 12 huwa sijui wana maana gani......
wanaficha udhaifu ili ionekane idadi ya waliokufa ni ndogo kwa hiyo wananchi hawatahoji sana.Kumbuka mapungufu yaliyojitokeza huko nyuma hayakufanyiwa kazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.