"Serikali na Vikao Vya Usiku wa Manane!. Sii Bure!, Lazima Kuna Jambo"!.

mkuu! si utuambie tu kuwa na wewe ni mmoja kati ya hao walio kwenye kikao! au na wewe hayo yako ya dodoma ni kuwanga! unayapi ya saa 7 usiku! ninaamini 100% ni mmoja wa kwenye hico kikao! napia wewe ndiye utakayetupa hizo habari! acha kuzunguka zunguka
 
Serikali hailali hata siku moja.
Vikao hivyo vinavyokufanya utaharuki ni kwa kuwa dom ni ka mji kadogo na hata ukijificha unaonekana
lakini kwa dar hakuna mtu anayeona kuwa issue because we pay them for the service they render
 
Pasco, tusaidie tuache kuwa watabiri na kufanya mambo kisayansi. Kwa kuanzia, unaweza kututajia namba za hayo magari... hizo zinazoanzana W na NW... ili tujue ni watu wa aina gani wanaweza kuwa ndio waliohuidhuria kikao hicho. Baada ya hapo, tunaweza kuanza 'kufikiri' kwa mwanga kidogo
 
Kikao kilianza saa 2 usiku kama kilivyopangwa na moja ya agenda ni ile ya Bw Membe kutoa tamko kuwa kwa mgogoro wa Malawi tupo tayari kwa lolote ama kuulinda mpaka kwa gharama yoyote bila kwanza kushauriana na wenzake kwenye kikao cha Mawaziri.
 
Si tumeambiwa sasa hivi wako kikazi zaidi? Labda mpaka wa Malawi...labda kurudisha heshima ya serikali...labda kula hela za allowance...yaani huku kupiga ramli sio mchezo!!!
 
serikali hailali...safi sana
Amiri jeshi mkuu mwenyewe ndo huyu HB!sasa hivi utasikia,'sizitaki mbichi hizi',kaziwa kenyewe kadoogo,waache wakachukue tu,samaki wenyewe walishakwisha kitambo.
 
Du sasa vita na malawi ni live kati ya wiki mbili hizihizi,,tutajifunga mikanda tena kama enzi za idi Amini.Mi naona wachukue tu hilo ziwa. nchi hii kubwa mno ndo maana magamba inawashinda
 
je wakuu wa bakabaka wamo nao? Pengine wana-discuss ku-give up ziwa nyasa kufuatia mkwar wa malawi! Ingekuwa enzi za mwalimu ultimatum ingeshatangazwa....'adui katuvamia, nia tunayo, dhumuni tunalo....'
...Dhaifu haiwezi yule na vile amekutana dhaifu mwenzie mtoto wa mkulima hakuna kitakachoendelea hapo....Mama wa Malawi anawatetemesha ndevu wazee wazima.... Zero squared!!!!:wacko:
 
alafu kesho useme hawafanyi kazi watu hawalali kwa ajili ya inchi yetu hii ni serikali yetu
 
Back
Top Bottom