Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,337
- 113,180
Wanabodi,
Niko hapa mjini Dodoma kwa ya kwangu, haya na yale. Saa hizi ni saa saba za usiku!, kwa maana nyingine ni usiku wa manane, nimepita hapa ukumbi wa Ustawishaji Makao Makuu, Kuna Kikao muhimu cha serikali mpaka saa hizi!.
Kuanzia Mukulu, Vice na PM wote wapo na hapa nje kumesheheni yale magari yenye plate number zinazoanzia W.... na hizi nyingine zinazoanzia NW na zile Prado mpya za mapiesi!.
Kwa vile huu ni usiku mkubwa, kiafrika watu wanaofanya shughuli usiku hivi huitwa wanga!, ili kuhalalisha serikali yetu haifanyi vikao vya kuwanga usiku hivi, hii inamaanisha kuwa vikao hivi sii bure, lazima kuna jambo kubwa la dharura!.
Niko hapa mjini Dodoma kwa ya kwangu, haya na yale. Saa hizi ni saa saba za usiku!, kwa maana nyingine ni usiku wa manane, nimepita hapa ukumbi wa Ustawishaji Makao Makuu, Kuna Kikao muhimu cha serikali mpaka saa hizi!.
Kuanzia Mukulu, Vice na PM wote wapo na hapa nje kumesheheni yale magari yenye plate number zinazoanzia W.... na hizi nyingine zinazoanzia NW na zile Prado mpya za mapiesi!.
Kwa vile huu ni usiku mkubwa, kiafrika watu wanaofanya shughuli usiku hivi huitwa wanga!, ili kuhalalisha serikali yetu haifanyi vikao vya kuwanga usiku hivi, hii inamaanisha kuwa vikao hivi sii bure, lazima kuna jambo kubwa la dharura!.